Mane aipeleka Semegal fainali Afcon

MOROCCO;-TIMU ya Taifa ya Senegal, imeichapa Misri bao 1-0 na kutinga fainali katika michuano ya Mataifa ya Afrika (Afcon) inayoendelea nchini Morocco.

Bao hilo pekee katika mchezo huo wa nusu fainali limefungwa na Sadio Mane dakika ya 78.

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button