Thomas Partey mengine tena!

HISPANIA: Kiungo wa zamani Arsenal, Thomas Partey, amefunguliwa mashtaka mawili ya ziada ya ubakaji yanayohusiana na madai ya tukio la ubakaji mwaka 2020 dhidi ya mwanamke mwingine.

Kwa mujibu wa ripoti za vyombo vya habari vya Uingereza, Partey anatarajiwa kufikishwa mahakamani mwezi ujao kujibu tuhuma hizo.

Inaelezwa kuwa madai hayo yaliripotiwa kwa mara ya kwanza mwezi Agosti 2025, baada ya kuondoka Arsenal na kujiunga Villareal ya Hispania.

Habari Zifananazo

2 Comments

  1. I get paid more than $120 to $130 per hour for working online. I heard about this job 3 months ago and after joining this i have earned easily $15k from this without having online working skills.
    This is what I do…..  www.join.work27.com 

  2. My best friend’s sister gets $180 an hour on the internet… she’s been laid off for two months, the previous month her paycheck was $20328 only working at home for a couple of hours each day…

    check out……… http://www.jobathome1.com

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button