Madini

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Tanzania, EU kushirikiana kufanya utafiti wa kina wa madini

DAR ES SALAAM: SERIKALI yaahidi kuendelea kushirikiana na Umoja wa Ulaya (EU) katika kufanya utafiti wa kina utakaosaidia kupata taarifa…

Soma Zaidi »

Dk Kiruswa amaliza mgogoro kampuni za madini

NAIBU Waziri wa Madini, Dk Steven Kiruswa amemaliza mgogoro wa muda mrefu kati ya Kampuni ya Madini ya Paradiso na…

Soma Zaidi »

Wafanyakazi wa mgodi wa dhahabu Geita wagoma kula

Kwa mujibu wa makubaliano hayo, Mwajiri atawajibika kutoa msaada wa elimu kwa watoto wa wafanyakazi wake wanne wenye umri kati…

Soma Zaidi »

Lekashingo aahidi ushirikiano madini

MWENYEKITI mpya wa Tume ya Madini, Janet Lekashingo ameahidi kufanya kazi kwa uadilifu, uaminifu na ushirikiano mkubwa na watumishi na…

Soma Zaidi »

Uwekezaji mkubwa sekta ya madini mapato yaongezeka

“Serikali imefanya uwekezaji mkubwa katika Sekta ya Madini, tumenunua mitambo mikubwa, mitano imeshafika nchini, kumi ipo njiani inakuja, mitambo hii…

Soma Zaidi »

‘Tanzania mbioni kuzalisha madini ya Niobium’

TANZANIA ipo mbioni kuanza uzalishaji wa madini ya Niobium ambayo ni moja ya madini adimu yanayotumika katika mitambo mbalimbali ikiwemo…

Soma Zaidi »

Serikali kurudisha minada ya madini ya vito

SERIKALI imesema inarudisha minada ya ndani ya madini ya vito itakayofanyika katika maeneo ya uzalishaji hususan Mirerani, Mahenge, Tunduru, Dar…

Soma Zaidi »

Serikali yaingiza bilioni 287 sekta ya madini

DODOMA : WAZIRI wa Madini Anthony Mavunde  amesema serikali imefanikiwa kukusanya shilingi bilioni 287 katika kipindi cha robo ya kwanza,…

Soma Zaidi »

Tanzania yajipanga kuteka soko la nishati safi

WAZIRI wa Madini ,Anthony Mavunde amesema Tanzania imejipanga kuteka soko la uuzaji wa madini ya kimkakati yanayozalisha nishati safi yanayohitajika…

Soma Zaidi »

TFS yaanza kutoa chanjo ya sumu ya nyuki

WAKALA wa Huduma za Misitu (TFS) imewataka watanzania kujifunza kutumia sumu ya nyuki kama njia mbadala ya kuimarisha kinga dhidi…

Soma Zaidi »
Back to top button