Madini

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Sendeka awashtaki askari ukuta wa Magufuli

MBUNGE wa Simanjiro,Christopher Ole Sendeka amewashitaka askari wa geti la ukuta wa Magufuli kuwa wanafanya upekuzi uliopitiza na kufanya wachimbaji…

Soma Zaidi »

Madini wakusanya bil 434/- miezi mitano

KATIKA kipindi cha miezi mitano cha kuanzia Julai mwaka huu hadi Desemba Mosi mwaka huu, Wizara ya Madini imefanikiwa kukusanya…

Soma Zaidi »

Tanzania, EU kushirikiana kufanya utafiti wa kina wa madini

DAR ES SALAAM: SERIKALI yaahidi kuendelea kushirikiana na Umoja wa Ulaya (EU) katika kufanya utafiti wa kina utakaosaidia kupata taarifa…

Soma Zaidi »

Dk Kiruswa amaliza mgogoro kampuni za madini

NAIBU Waziri wa Madini, Dk Steven Kiruswa amemaliza mgogoro wa muda mrefu kati ya Kampuni ya Madini ya Paradiso na…

Soma Zaidi »

Wafanyakazi wa mgodi wa dhahabu Geita wagoma kula

Kwa mujibu wa makubaliano hayo, Mwajiri atawajibika kutoa msaada wa elimu kwa watoto wa wafanyakazi wake wanne wenye umri kati…

Soma Zaidi »

Lekashingo aahidi ushirikiano madini

MWENYEKITI mpya wa Tume ya Madini, Janet Lekashingo ameahidi kufanya kazi kwa uadilifu, uaminifu na ushirikiano mkubwa na watumishi na…

Soma Zaidi »

Uwekezaji mkubwa sekta ya madini mapato yaongezeka

“Serikali imefanya uwekezaji mkubwa katika Sekta ya Madini, tumenunua mitambo mikubwa, mitano imeshafika nchini, kumi ipo njiani inakuja, mitambo hii…

Soma Zaidi »

‘Tanzania mbioni kuzalisha madini ya Niobium’

TANZANIA ipo mbioni kuanza uzalishaji wa madini ya Niobium ambayo ni moja ya madini adimu yanayotumika katika mitambo mbalimbali ikiwemo…

Soma Zaidi »

Serikali kurudisha minada ya madini ya vito

SERIKALI imesema inarudisha minada ya ndani ya madini ya vito itakayofanyika katika maeneo ya uzalishaji hususan Mirerani, Mahenge, Tunduru, Dar…

Soma Zaidi »

Serikali yaingiza bilioni 287 sekta ya madini

DODOMA : WAZIRI wa Madini Anthony Mavunde  amesema serikali imefanikiwa kukusanya shilingi bilioni 287 katika kipindi cha robo ya kwanza,…

Soma Zaidi »
Back to top button