Madini

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Mgodi wachangia bil 1.29/- serikalini miaka mitatu

MANYARA; MGODI wa Itracom Fertilizer Limited unaojihusisha na uchimbaji na uchakataji wa madini ya phosphate uliopo katika eneo la Vilima…

Soma Zaidi »

Tanzania, EU kushirikiana thamani ya madini

UMOJA wa Ulaya (EU) umeonesha nia ya kuendelea kushirikiana na Tanzania katika mnyororo wa thamani wa madini. Mnyonyoro huo ni…

Soma Zaidi »

Bukombe: Shughuli za uchimbaji zarejea Msasa

GEITA: SERIKALI imeruhusu shughuli za uchimbaji kuendelea katika mgodi wa Msasa wilayani Bukombe baada ya kubaini idadi kubwa ya wachimbaji…

Soma Zaidi »

Serikali yaainisha mkakati kuendeleza wachimbaji wadogo

SERIKALI imeainisha mkakati mahsusi wa kuwaendeleza wachimbaji wadogo wa madini nchini, kwa kuweka kipaumbele katika utoaji wa leseni, upatikanaji wa…

Soma Zaidi »

Mavunde: Leseni za madini kwa vikundi, si mtu mmoja

SHINYANGA: WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde amesema leseni za uchimbaji madini hazitatolewa kwa mmoja mmoja, bali vijana wanapaswa kuunda vikundi…

Soma Zaidi »

Bei ya dhahabu yapaa, yavunja rekodi dola 4,400 kwa gramu

BEI ya dhahabu imepanda na kuvunja rekodi, ikiuza kwa zaidi ya dola 4,400 kwa gramu kwa mara ya kwanza katika…

Soma Zaidi »

Twiga Minerals Yaipa Tanzania Nuru Mpya ya Maendeleo

TANZANIA inaendelea kung’ara kimataifa kupitia sekta ya madini, huku Twiga Minerals Corporation yenye ubia kati ya Serikali ya Tanzania na…

Soma Zaidi »

Vijana sekta ya madini wahimizwa kupiga kura

MWANZA: UMOJA wa vijana katika sekta ya madini (TYM) umewahimiza wachimbaji wote nchini kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchaguzi…

Soma Zaidi »

PURA yaikaribisha Chevron Tanzania kuwekeza sekta ya mafuta, gesi asilia

ACCRA, GHANA: Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imeikaribisha moja ya kampuni  kubwa ya nishati ya Marekani ijulikanayo…

Soma Zaidi »

Akiba ya dhahabu BoT yafikia tani 6

GEITA: WIZARA ya Madini imeweka wazi kuwa hadi kufikia Julai 2025 Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ina hifadhi ya tani…

Soma Zaidi »
Back to top button