Featured

Featured posts

Kocha Gaborone: Presha yote ipo Yanga

DAR ES SALAAM: KOCHA wa Gaborone United ya Botswana, Sean Connor, amesema presha kubwa ipo kwa Yanga kuelekea mchezo wa…

Soma Zaidi »

Kliniki ya viwango ya TBS yavutia wengi Dar

DAR ES SALAAM; SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS), limeendelea kusogeza huduma na elimu kuhusu viwango, ubora na usalama wa bidhaa karibu…

Soma Zaidi »

‘Huduma upimaji bidhaa kuendelea kuimarishwa’

MWANZA; Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Dennis Londo,  amesema Serikali inaendelea kuimarisha huduma za upimaji nchini, huku ikiwa ni…

Soma Zaidi »

‘Serikali imeanza mchakato ujenzi wa meli mpya’

MTWARA; NAIBU Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile amesema serikali imeanza mchakato wa ujenzi wa meli mpya ya mizigo katika Bandari…

Soma Zaidi »

Aliyejifungua watoto 3 akumbukwa, msaada zaidi wahitajika

DODOMA; Msamaria mwema ametoa msaada wa chakula na mahitaji mengine ya nyumbani kwa mama wa watoto tisa anayeishi Kijiji cha…

Soma Zaidi »

Afrika ‘yaamshwa’ utoshelevu rasilimali za nishati

ACCRA, GHANA: Mkuu wa Shughuli za Serikali nchini Ghana Dk Julius Debras ametoa wito kwa nchi za Afrika kuangalia kwa…

Soma Zaidi »

TBS yaja na kliniki ya viwango Kariakoo, Mwenge

DAR ES SALAAM; Shirika la Viwango Tanzania (TBS), limeandaa kliniki ya viwango katika maeneo ya Soko Kuu la Biashara Kariakoo…

Soma Zaidi »

Ujenzi Akademi ya Michezo Malya wafikia asilimia 55

DODOMA; Serikali imesema hadi kufikia Agosti, 2026 ujenzi wa Akademi ya Michezo Malya umefikia asilimia 55. Waziri wa Habari, Utamaduni,…

Soma Zaidi »

Vikundi vya wajasiriamali 33,594 vyanufaika mikopo asilimia 10

DODOMA; Serikali imesema katika kipindi cha mwaka wa fedha 2024/25 hadi 2025/26 jumla ya vikundi vya wajasiriamali 33,594 vilinufaika na mikopo…

Soma Zaidi »

Faida Azimio Mkataba uanzishwaji GGGI zatajwa

DODOMA; Serikali imewasilisha bungeni maelezo kuhusu Azimio la kuridhia Mkataba wa Uanzishwaji wa Taasisi ya Ukuzaji wa Maendeleo ya Kijani…

Soma Zaidi »
Back to top button