Featured

Featured posts

DIPLOMASIA YA MADINI

MAHENGE — Kabla hata mgodi wa kinywe wa Mahenge haujaanza kuzalisha tani moja ya madini, dalili za mabadiliko tayari zinaonekana…

Soma Zaidi »

Mavunde: Tanzania kuwa kitovu cha uchakataji madini Afrika

DAR ES SALAAM —Serikali imeweka mkakati wa kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha uchakataji na uongezaji thamani wa madini barani Afrika kupitia…

Soma Zaidi »

Waziri Sangu ataka waajiri watumie msamaha tozo  NSSF

DAR ES SALAAM; Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu, ametaka waajiri nchini…

Soma Zaidi »

WRRB yaanza utekelezaji agizo la Waziri Mkuu

BODI ya Usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza rasmi utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa na Waziri Mkuu, Dk…

Soma Zaidi »

Yanga yavuliwa ubingwa Mwanza

MWANZA; Fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB 2026/27 ni kati ya Simba na Azam FC, baada ya Azam FC…

Soma Zaidi »

Simba yatangulia fainali kibabe

ARUSHA;Simba ya Dar es Salaam imetinga kibabe fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB, baada ya kuitandika Coastal Union ya…

Soma Zaidi »

Tamasha la watoto wanaoishi mazingira magumu laiva

KILIMANJARO; Zaidi ya watoto 2,000 wanaoishi katika mazingira magumu wanatarajiwa kushiriki Tamasha la Kwanza la Michezo litakalofanyika Juni 21, 2026…

Soma Zaidi »

Kamanda wa Polisi Tabora afariki dunia

TABORA; Kamandawa Polisi Mkoa wa Tabora (RPC), Richard Abwao amefariki dunia leo Juni 20, 2026 akiwa kwenye matibabu Hospitali ya…

Soma Zaidi »

Balozi Kairuki, Spika Lindsay wafanya mazungumzo

LONDON, UINGEREZA: Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Mbelwa Kairuki, amekutana na kufanya mazungumzo na Spika wa Bunge la Uingereza, Sir…

Soma Zaidi »

Taasisi zapewa somo ziwajibike kwa jamii

DODOMA; Mwenza wa Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, Mama Neema Nchemba amehimiza aaasisi za umma na binafsi kuendelea kuunga mkono juhudi…

Soma Zaidi »
Back to top button