Jina la Makamu wa Rais Mteule lilivyowasilishwa bungeni

DODOMA; Picha za matukio mbalimbali, wakati Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu, akipokea rasmi leo Agosti 28, 2026 jina la Makamu wa Rais Mteule, Deogratius John Ndejembi, lililopendekezwa na Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM).

Jina hilo limewasilishwa kwa Spika na Katibu wa Rais, Balozi Ali Jabir Mwadini akiwa ameambatana na Mpambe wa Rais (ADC) Brigedia Jenerali, Nyamburi Mashauri kwa ajili ya kuthibitishwa na Bunge.

Mapokezi ya jina hilo yameshuhudiwa na Naibu Spika, Daniel Sillo, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari, pamoja na Katibu wa Bunge , Baraka Leonard.Wengine ni Wenyeviti wa Bunge, Deogratius Mwanyika, Najma Giga na Cecilia Pareso




Cash earning job to earns more than $700 per day. getting paid weekly more than $3500 or more simply doing easy work online. no special skills required for this job and regular earning from this are just awesome. all you need is 2 hrs a day for this job and earning are awesome. every person can get this by follow details here…
THIS→→→→ http://Www.Payathome1.com