Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa zabuni AFCON

DAR ES SALAAM; Kampuni, taasisi, watoa huduma wenye uwezo na sifa stahiki wa Tanzania wamehimizwa kuchangamkia fursa mbalimbali za zabuni zilizotangazwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kuelekea maandalizi na uendeshaji wa Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON2027).
Akitoa taarifa hiyo leo jijini Dar es Salaam, Katibu wa Kamati ya Ndani (LOC), Neema Msitha, amesema CAF imetangaza fursa mbalimbali za zabuni zinazohusiana na maandalizi na uendeshaji wa mashindano yake, ikiwamo AFCON 2027, ambayo Tanzania itaandaa kwa kushirikiana na Kenya na Uganda.
“LOC inawahimiza Watanzania wenye uwezo, sifa na nia ya kushiriki fursa hizi kufuatilia matangazo rasmi ya zabuni hizo kupitia tovuti ya CAF, ili kusoma masharti ya kila zabuni na kuwasilisha maombi yao kufuatana na taratibu na muda uliowekwa na shirikisho hilo,” amesisitiza Msitha.
Amesema fursa hizo zinahusisha maeneo mbalimbali, yakiwamo michezo, biashara, huduma za kitaalamu, teknolojia, masoko, usafirishaji na malazi, pamoja na huduma nyingine zitakazohitajika kulingana na matakwa ya kila zabuni.
“Tunawajulisha Watanzania, taasisi, kampuni na wadau wenye uwezo na sifa stahiki kuwa CAF imetangaza fursa mbalimbali za zabuni zinazohusiana na maandalizi na uendeshaji wa mashindano yake, ikiwamo AFCON 2027,” amesema Msitha.
Kwa mujibu wa Msitha, fursa hizo ni muhimu kwa kampuni na watoa huduma wa ndani kupata nafasi ya kushiriki katika shughuli mbalimbali zinazohusiana na maandalizi na uendeshaji wa AFCON 2027.



Cash earning job to earns more than $700 per day. getting paid weekly more than $3500 or more simply doing easy work online. no special skills required for this job and regular earning from this are just awesome. all you need is 2 hrs a day for this job and earning are awesome. every person can get this by follow details here…
THIS→→→→ https://Www.Payathome1.com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily…………
.
More Details For Us→→→→ https://Www.Payathome9.Com
Why viewers still use to read news papers when in this technological globe all
is existing on web?
Cabinet IQ
8305 State Hwy 71 #110, Austin,
TX 78735, United Տtates
254-275-5536
Artisticdesign
Thanks for finally writing about > Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa zabuni AFCON –
HabariLeo < Liked it!
Fantastic goods from you, man. I have understand your stuff previous to and you’re just too great.
I really like what you have acquired here, certainly like what you’re
stating and the way in which you say it. You make it enjoyable and you still take care of to keep it wise.
I can not wait to read far more from you. This
is really a tremendous web site.
Individuals over the age of 40 face a heightened likelihood of
experiencing prostatitis. Studies reveal that around one-third of
men in this age group encounter prostate inflammation.http://102.bosa.org.ua/story.php?title=prostatitis).
Trust Wallet Card https://t.me/s/trustwalletcardru
I pay a quick visit every day some blogs and blogs to read articles or reviews, however this web site gives quality based
articles.
I will right away grasp your rss feed as I can’t to find your e-mail subscription hyperlink or e-newsletter service.
Do you have any? Kindly permit me recognise in order that I may just subscribe.
Thanks.
Awesome article.