Kopwe: Mashariki ilinifungulia njia kuwa Miss Tanzania

PWANI:  MISS Tanzania 2022, Halima Kopwe, amesema ushiriki wake katika mashindano ya Miss Kanda ya Mashariki ulikuwa hatua muhimu katika safari yake ya urembo na baadaye kumfungulia milango ya fursa mbalimbali, ikiwamo kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya kimataifa ya dunia.

Halima, ambaye alitokea Mtwara na kushindana Miss Tanzania Kanda ya Mashariki, alisema hayo wakati wa uzinduzi wa shindano la kanda hiyo 2026 uliofanyika Kisemvule, Mkuranga mkoani Pwani Septemba 18, 2026.

“Baada ya kuwa Miss Kanda  ya Mashariki na kwenda kwenye mashindano makubwa duniani, nimepata fursa nyingi sana. Maisha yangu yamebadilika kupitia Miss Tanzania,” amesema Halima.

 

Amesema uzoefu wake unaonesha namna mashindano ya urembo yanavyoweza kubadilisha maisha ya wasichana kupitia fursa za ajira, ubalozi na mikataba mbalimbali.

Halima pia aliwashukuru wadau wanaoendelea kuunga mkono tasnia ya urembo, akisema ushirikiano huo unawapa moyo washiriki na waandaaji.

Habari Zifananazo

5 Comments

  1. Cash earning job to earns more than $700 per day. getting paid weekly more than $3500 or more simply doing easy work online. no special skills required for this job and regular earning from this are just awesome. all you need is 2 hrs a day for this job and earning are awesome. every person can get this by follow details here…

    THIS→→→→ http://Www.Payathome1.com

  2. I get paid more than $120 to $130 per hour for working online. I heard about this job 3 months ago and after joining this i have earned easily $15k from this without having online working skills.
    This is what I do…..    https://www.work27.info

  3. Have you ever thought about publishing an e-book or
    guest authoring on other sites? I have a blog based upon on the same information you discuss and
    would love to have you share some stories/information. I know my readers
    would appreciate your work. If you are even remotely interested, feel free to shoot me an e-mail.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button