Mwandishi Wetu

Featured

Barrick yachangia tril 3.6/- Serikalini miaka 4

KAMPUNI ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu ya Barrick imechangia shilingi trilioni 3.6 katika mapato ya Serikali kupitia kodi, mrabaha na…

Soma Zaidi »
Featured

Mkoa wa Morogoro katika historia ya ukombozi Afrika

MOROGORO ni miongoni mwa miji michache nchini yenye umaarufu kutokana na mchango wake kwenye harakati za ukombozi wa nchi za…

Soma Zaidi »
Africa

Rais Samia kuhudhuria mkutano AU

Rais Dk Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya kikazi Addis Ababa nchini Ethiopia kuanzia leo hado Februari 16, kushiriki…

Soma Zaidi »
Featured

‘Valentine’s Day’: Siku inayoadhmishwa ‘kichwa chini miguu juu’

LEO ni Februari 14, 2025; Siku ya Wapendanao, wengi huiita kwa Kiingereza, ‘Valentine’s Day’ na huadhimishwa kila mwaka inapofi ka…

Soma Zaidi »
Featured

Umuhimu wa maboresho ya kodi kupitia ushirikishaji umma

KODI ni muhimu katika kufadhili shughuli za maendeleo ya kiuchumi na huduma za umma Afrika Mashariki. Serikali za ukanda huu…

Soma Zaidi »
Featured

Serikali yawashauri wazazi kufundisha watoto kujiwekea akiba

Serikali kupitia Wizara ya Fedha imewashauri wazazi na walezi kuwafundisha Watoto kuwa na utamaduni wa kujiwekea akiba ili kuwasaidia katika…

Soma Zaidi »
Featured

Polisi yaanika kiini wizi wa ng’ombe Geita

JESHI la Polisi mkoani Geita limeweka wazi kuwa moja ya kiini kikubwa cha ongezeko la matukio ya wizi wa mifugo…

Soma Zaidi »
Featured

Kabudi awaonya watangazaji kuacha kubananga Kiswahili

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Palamagamba Kabudi amewaonya watangazaji wa  vyombo vya habari kuacha kubananga au kupotosha…

Soma Zaidi »
Featured

Serikali yaasa wananchi kutowekeza fedha penye vihatarishi

SERIKALI imetoa rai kwa Wananchi kuwekeza fedha zao sehemu sahihi na salama badala ya kuwekeza fedha mahali ambapo pana vihatarishi.…

Soma Zaidi »
Biashara

Dira 2050 yataja changamoto saba mazingira ya biashara

RASIMU ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 imetaja changamoto saba za mazingira wezeshi ya biashara na uwekezaji nchini. Imetaja…

Soma Zaidi »
Back to top button