Bunge

Lengo ifikapo 2030 watalii mil 8

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema kuelekea mwaka 2030 mpango wa serikali ni kukuza sekta ya utalii lengo likiwa kufikisha watalii…

Soma Zaidi »

Serikali kuongeza ukuaji kilimo hadi 10%

SERIKALI katika miaka mitano ijayo, inakusudia kufanya uwekezaji mkubwa kwenye sekta za uzalishaji, ikianza kilimo lengo llikiwa kuongeza kasi ya…

Soma Zaidi »

Tume kuchunguza vurugu Oktoba 29

DODOMA: RAIS, Dk 𝗦𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗦𝘂𝗹𝘂𝗵𝘂 𝗛𝗮𝘀𝘀𝗮𝗻 amesema Serikali imeunda tume ya kuchunguza vurugu zilizotokea nchini Oktoba 29 wakati wa Uchaguzi…

Soma Zaidi »

Samia aagiza viongozi kuwajibika kwa wananchi

RAIS Samia Suluhu Hassan ameagiza viongozi serikali kwa ngazi zote nchini kuanzia mawaziri hadi maafisa tarafa kuwa karibu na wananchi…

Soma Zaidi »

Ndoinyo aahidi kutekeleza ahadi zake zote

DODOMA: MBUNGE wa Jimbo la Ngorongoro mkoani Arusha, Yannick Ndoinyo ameahidi kutekeleza ahadi zote alizoahidi kwa wananchi wa jimbo hilo.…

Soma Zaidi »

Bunge Kuthibitisha Waziri Mkuu Kesho

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, ametangaza kuwa kesho, Novemba 13, 2025, Bunge litakuwa…

Soma Zaidi »

Wapinzani wamshauri Zungu kusimamia maslahi ya nchi

WALIOKUWA wagombea urais wa vyama pinzani wamemshauri Spika mpya wa Bunge, Mussa Azzan Zungu aongoze mhimili huo wa dola kwa…

Soma Zaidi »

Huyu ndiye Mussa Zungu

KURA 378 kati ya kura 383 zilizopigwa zimempa ushindi Mbunge wa Ilala kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mussa…

Soma Zaidi »

Wabunge waapishwa mjini Dodoma

DODOMA : WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo wameapishwa kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya…

Soma Zaidi »

Zungu spika mpya wa bunge

DODOMA: Mbunge Mteule wa Jimbo la Ilala, Dar es salaam Mussa Azzan Zungu ameibuka mshindi wa kinyang’anyiro cha Kiti cha…

Soma Zaidi »
Back to top button