TRA United yaanza maandalizi kuivaa Dodoma Jiji FC

ARUSHA: TIMU ya TRA United imezindua Wiki ya Shamra Shamra yenye matukio mbalimbali ya kijamii na uhamasishaji kuelekea mechi yake ya kwanza ya nyumbani dhidi ya Dodoma Jiji itakayochezwa Jumamosi, Agosti 29, 2026.

Mchezo huo pia utatumika kutambulisha wachezaji wao wa msimu huu wa 2026/2027.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha, Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Arusha, Deogratius Shuma, amesema klabu hiyo inatumia soka kama njia ya kuhamasisha ulipaji kodi wa hiari pamoja na kuelimisha wananchi kuhusu faida za kulipa kodi na kudai risiti.

Alisema TRA ilianzisha timu hiyo kutokana na umuhimu wa soka kama mchezo unaopendwa na watu wengi, hivyo kuwezesha mamlaka hiyo kufikisha kwa urahisi ujumbe wa ulipaji kodi kwa wananchi.

“Mbali na kuhamasisha ulipaji kodi wa hiari, timu pia imeanzishwa kwa ajili ya kuibua vipaji vya vijana na kuonyesha faida zinazotokana na mapato ya kodi,” amesema.

Amesema kupitia TRA United, mamlaka hiyo pia itaendelea kutoa elimu kuhusu mifumo mbalimbali inayotumika katika kurahisisha ulipaji na usimamizi wa kodi.

Ofisa Habari wa TRA United, Christina Mwagala, amesema Wiki ya ‘Shamra Shamra’ itajumuisha matukio mbalimbali, yakiwemo uhamasishaji mitaani na shughuli za kurudisha kwa jamii.

Amesema kuanzia Alhamisi hadi Ijumaa, timu hiyo itafanya hamasa katika maeneo mbalimbali jijini Arusha, sambamba na kutembelea taasisi za soka na pia kutoa msaada kwa watoto yatima.

“Tumekuwa tukifanya shughuli za kurudisha kwa jamii, lakini mara nyingi tunafanya bila kwenda na vyombo vya habari kwa sababu tunaamini ni sehemu ya sadaka yetu kwa jamii,”

Mwagala amesema timu hiyo imeanza msimu kwa kucheza michezo mitatu ya ugenini, ikipata pointi mbili baada ya sare ya bao 1-1 dhidi ya JKT Tanzania, kufungwa mabao 2-1 na Azam FC na kutoka sare dhidi ya Coastal Union mjini Tanga.

Ameeleza pamoja na matokeo hayo kutokuwa katika malengo yaliyowekwa na klabu, bado ni mwanzo wa msimu na timu ina matumaini ya kufanya vizuri katika mechi za nyumbani.

Baada ya mchezo dhidi ya Dodoma Jiji, TRA United itakuwa na mchezo mwingine wa nyumbani dhidi ya Mbeya City Septemba 4.

Habari Zifananazo

14 Comments

  1. I’m really inspired together with your writing abilities as neatly
    as with the structure for your blog. Is that this a
    paid topic or did you customize it yourself?
    Either way keep up the excellent high quality writing,
    it is uncommon to look a great blog like this one nowadays..

  2. Hey I know this is off topic but I was wondering if you knew of any widgets I could
    add to my blog that automatically tweet my newest twitter updates.

    I’ve been looking for a plug-in like this
    for quite some time and was hoping maybe you would have some experience with
    something like this. Please let me know if you run into anything.
    I truly enjoy reading your blog and I look forward to your new updates.

    Here is my web site :: รีวิวอุปกรณ์รถไฟฟ้า

  3. Exciting insights on TRA United’s preparations! I’m curious how Ivo Valemont’s strategies might shift their gameplay against Dodoma Jiji FC. It could really elevate fnf the match dynamics!

  4. Hello There. I discovered your blog using msn. This is a really smartly written article.
    I’ll make sure to bookmark it and return to read more
    of your useful information. Thanks for the post. I will definitely comeback.

  5. This is a very informative post about online casinos and betting platforms.

    I especially liked how it explains the importance of
    choosing a licensed site before signing up.

    Many players often ask where they can find reliable gaming platforms with fair odds and smooth payouts.
    From what I’ve seen, checking platforms like vn22vip helps users compare features, bonuses,
    and overall experience.

    Thanks for sharing these insights — they’re helpful
    for both beginners and experienced bettors.

  6. Thanks for your marvelous posting! I genuinely enjoyed reading it, you
    can be a great author. I will remember to bookmark your blog and will eventually come back
    down the road. I want to encourage you to definitely continue your great work, have a nice weekend!

  7. The іnterest of OMT’s creator, Μr. Justin Tan, shines tһrough in mentors, inspiring Singapore trainees tⲟ fall for math fοr examination success.

    Experience versatile learning anytime, ɑnywhere throuցh OMT’s detailed online
    e-learning platform, featuring limitless access tߋ video lessons and
    interactive quizzes.

    Offered tһɑt mathematics playys a critical function іn Singapore’s economic advancement ɑnd development, buying specialized math tuition gears ᥙp students ѡith thе problem-solving skills needeⅾ to grow in a competitive
    landscape.

    Enriching primary education ѡith math tuition prepares trainees for PSLE by cultivating а growth
    state of mind tοward difficult subjects ⅼike balance aand changes.

    Individualized math tuition in secondary school addresses individual learning
    gaps іn topics like calculus аnd statistics, preventing thеm from preventing O
    Level success.

    Witһ A Levels influencing occupation paths іn STEM fields, math tuition enhances fundamental skills f᧐r future
    university researches.

    OMT sets іtself apart ѡith a curriculum mаde to boost MOE material throuցh
    comprehensive explorations օf geometry evidence аnd theories fоr JC-level students.

    Flexible quizzes adjust tο youг degree lah, testing you simply right to gradually increase уour exam ratings.

    Math tuition ⲣrovides targeted exercise ԝith past test documents, acquaainting pupils ѡith question patterns ѕeen іn Singapore’s
    national analyses.

    Alsο visit mʏ web-site :: sec 3 express math

  8. I get paid more than $120 to $130 per hour for working online. I heard about this job 3 months ago and after joining this i have earned easily $15k from this without having online working skills. This is what I do…..  http://www.work27.info

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button