Dk Samia aongoza kikao Maalumu Kamati Kuu CCM

DAR ES SALAAM;Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM)  na Rais wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao Maalumu cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika jijini Dar Es Salaam leo Agosti 26,  2026.

 

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button