Na Shakila Mtambo

Featured

Tume ya Uchunguzi yaanza kusikiliza wananchi

TUME ya Uchunguzi wa matukio ya uvunjifu wa amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025…

Soma Zaidi »
Dini

Waumini wakumbushwa kuishi kwa imani

DODOMA; WAUMINI nchini wamekumbushwa kuishi maisha ya imani ili kuandika historia nzuri wakiwa duniani na hata wakitangulia mbele ya haki…

Soma Zaidi »
Dodoma

Samia awapa neno mawaziri wapya

RAIS Samia Suluhu Hassan amemmwagia sifa Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama aliyefariki dunia kuwa alikuwa kiongozi mwenye moyo wa kujali…

Soma Zaidi »
Tanzania

RC Shinyanga: Toeni elimu chanjo ya mifugo

SHINYANGA; Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga,  Mboni Mhita amewataka wakuu wa divisheni za mifugo na uvuvi pamoja na maofisa ugani…

Soma Zaidi »
Jamii

Kero ya maji yamkera Mbunge Ngorongoro

MBUNGE wa Jimbo la Ngorongoro mkoani Arusha, Dk Yannick Ndoinyo ameahidi kufuatilia kujua kwa nini mradi wa maji wenye thamani…

Soma Zaidi »
Tanzania

CCM Kata Osunyai waja kivingine

ARUSHA; CHAMA cha Mapinduzi (CCM), Kata ya Osunyai jijini Arusha,  kimesema katika kujiimarisha kiuchumi, kipo katika mpango wa ujenzi wa…

Soma Zaidi »
Featured

Mhagama kuzikwa Des.16 kijijini Ruanda

DODOMA; MBUNGE wa Jimbo la Peramiho, Jenista Mhagama aliyefariki dunia leo Desemba 11, 2025 mjini Dodoma, atazikwa Desemba 16, 2025…

Soma Zaidi »
Tanzania

RC Pwani ataka weledi kwa watendaji

PWANI: Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amesema wakuu wa wilaya, wakurugenzi na watendaji mbalimbali wa serikali wanapaswa kuhakikisha…

Soma Zaidi »
Featured

Dk Nchimbi: Taifa limepata pengo kifo cha Mhagama

DODOMA; Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Emmanuel Nchimbi amesema Taifa limepata pengo kuondokewa na Mbunge wa Jimbo la Peramiho…

Soma Zaidi »
Featured

Rais Samia ateua Mwenyekiti Bodi Tanesco

DODOMA; RAIS Samia Suluhu Hassan, amemteua  Plasdus Mbossa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco). Taarifa…

Soma Zaidi »
Back to top button