Dodoma

Majaliwa atoa maagizo Mji wa Serikali

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza ifikapo Oktoba mwaka huu, majengo ya serikali yaliyopo Mtumba jijini Dodoma yawe yamekamilika ili azma…

Soma Zaidi »

Chongolo aipa tano serikali miradi ya DUWASA         

KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo ameipongeza serikali katika kutatua changamoto ya maji jijini  Dodoma Chongolo ameyasema…

Soma Zaidi »

Aweso ateua Meneja mpya Ruwasa Dodoma

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amemteuwa Mhandisi Mbaraka Juma Ally kuwa Meneja Mkoa wa Dodoma wa Wakala wa Maji na…

Soma Zaidi »

Chongolo aonya ucheleweshaji miradi ya Samia ya umwagiliaji 

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo ameziagiza Wizara ya Fedha na Mipango na ile ya Kilimo kukaa…

Soma Zaidi »

Rais Samia amteua Mtanda kuwa RC Mara

RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua Mkuu wa Wilaya Urambo, mkoani Tabora, Said Mohammed Mtanda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara…

Soma Zaidi »

Matukio mbalimbali uzinduzi Ikulu mpya Chamwino

RAIS Samia Suluhu Hassan Kipanda mti wa kumbukumbu kwenye hafla ya ufunguzi wa Jengo la Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma…

Soma Zaidi »

Dk Mwinyi ahudhuria ufunguzi Ikulu Chamwino

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi, amewasili jijini Dodoma kuhudhuria sherehe za ufunguzi wa…

Soma Zaidi »

Watanzania mil.8.5 kufikiwa mawasiliano

MTENDAJI Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF), Justina Mashiba amesema Watanzania milioni 8.5 watafikiwa na huduma za mawasiliano…

Soma Zaidi »

Madiwani watakiwa wasisubiri vikao kero za wananchi

MEYA wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Profesa Davis Mwamfupe amewataka madiwani wa halmashauri hiyo kuacha mtindo wa kusubiri vikao…

Soma Zaidi »

Vinara wanaochafua mazingira kukamatwa

OFISA Mazingira wa Jiji la Dodoma, Dickson Kimaro amewaagiza watendaji wote wa kata 41 na mitaa zaidi ya 220 kuwakamata…

Soma Zaidi »
Back to top button