Dodoma

Bwawa la Mtera kutumika kukabili upungufu wa maji

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira inatarajia kukaa na kuchakata maoni na ushauri iliopokea kutoka kwa watalaamu…

Soma Zaidi »

Majaliwa: Msaada wa kisheria kwa wanyonge utaimarisha amani

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kampeni ya huduma ya msaada wa kisheria ya Mama Samia itasaidia kuboresha upatikanaji wa haki…

Soma Zaidi »

Majaliwa aonya wizi fedha za miradi

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza wasimamizi wa miradi wakiwamo wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wazingatie maslahi ya taifa kwa…

Soma Zaidi »

Serikali: Watanzania wako salama Sudan

SERIKALI imesema Watanzania takribani 210 waliopo Sudan wakiwamo wanafunzi 171 wapo salama. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa…

Soma Zaidi »

‘Tumieni mbegu za karanga, alizeti zilizofanyiwa utafiti’

MKURUGENZI Mtendaji wa Wafanyabiashara wa Mbegu Tanzania (TASTA),  Dk Bob Shuma amewataka wakulima kutumia mbegu bora za karanga na alizeti…

Soma Zaidi »

 Serikali yafungia mitandao inayojihusisha na ushoga

MAMLAKA nchini Tanzania katika kujaribu kulinda maadili na utamaduni wa Mtanzania, imeanza kuchukua hatua kali ikiwa ni pamoja na kufungia…

Soma Zaidi »

Bei za mazao zashuka, vifaa vya ujenzi juu

WASTANI wa bei za mazao na bidhaa za chakula zimeshuka kwa asilimia 0.8 hadi 0.7 huku bei za vifaa vya…

Soma Zaidi »

337 ruksa kurudia mtihani kidato cha nne

WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeruhusu wanafunzi 337 waliofutiwa matokeo ya mtihani wa kidato cha nne warudie kuufanya mwezi…

Soma Zaidi »

CAG apendekeza tathmini manufaa bei za mazao

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) amependekeza serikali ifanye tathmini kuhakiki kama kuongezeka kwa bei za mazao…

Soma Zaidi »

CAG abaini hasara bil 162/- mamlaka za maji

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) amebaini hasara ya Sh bilioni 162.2 inayotokana na ongezeko la kiwango…

Soma Zaidi »
Back to top button