Kanda

‘Hakikisheni watoto wanapata chakula shuleni’

MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo mkoani Katavi Mohamed Ramadhan, amewaagiza maofisa elimu kuelekeza nguvu kuhakikisha watoto wanapata…

Soma Zaidi »

13 wakamatwa wakituhumiwa kuchakachua mbolea

JESHI la Polisi mkoani Njombe limekamata watu 13 wanaotuhumiwa kuhusika kuchakachua mbolea za ruzuku na kuwauzia wakulima. Kamanda wa Polisi…

Soma Zaidi »

CCM Geita wataka weledi usimamizi wa miradi

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Geita, kimeutaka uongozi wa Halmashauri ya Mji wa Geita kuimarisha usimamizi wa miradi inayojengwa kwa…

Soma Zaidi »

Jela miaka 30 kwa kumbaka dada yake

FRANK Kigomba (31) mkazi wa Kijiji cha Kising’a wilayani Kilolo, amehukumiwa kwenda jela miaka 30 na kulipa fidia ya Sh…

Soma Zaidi »

‘Imarisheni mifumo kuvutia wawekezaji’

MKUU wa Mkoa wa  Tanga, Omari Mgumba, ameishauri  mahakama kuimarisha mifumo ya sheria ili kuweza kuvutia wawekezaji, ikiwemo kukuza uchumu…

Soma Zaidi »

Polisi yaua watuhumiwa ujambazi, wakutwa na AK47 

JESHI la Polisi mkoani Kagera limewaua watu wawili wanaosadikiwa kuwa  ni majambazi katika Kijiji cha Kumunazi wilayani Ngara mkoani Kagera.…

Soma Zaidi »

‘Wananchi wengi hawapendi njia ya usuluhishi’

WANANCHI walio wengi hawapendi njia ya usuluhishi  kwa kuamini kuwa kazi ya mahakama ni moja tu ya kufunga watu gerezani,…

Soma Zaidi »

Saba mbaroni wakituhumiwa kumuua hakimu 

JESHI la Polisi mkoani Mbeya limekamata watu saba wanaotuhumiwa kumuua hakimu wa Mahakama ya Wilaya ya Handeni mkoani Tanga, Joackim…

Soma Zaidi »

‘Wekeni utaratibu kusikiliza kero za wananchi’

MKUU wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko amekerwa na baadhi ya watendaji kushindwa kutatua kero za wananchi kwa wakati, hali…

Soma Zaidi »

TAKUKURU kuchunguza tuhuma madaktari Manyoni

BAADHI ya madaktari kwenye Hospitali ya Wilaya ya Manyoni, mkoani Singida wamelalamikiwa kuingia kazini huku wakiwa wamelewa na kushindwa kuhudumia…

Soma Zaidi »
Back to top button