Dodoma

Mavunde atangaza ‘neema’ Mlezi

MBUNGE  wa jimbo la Dodoma  Mjini, Anthony Mavunde amekagua na kuridhishwa na kasi ya ujenzi wa madarasa mapya manne na…

Soma Zaidi »

Samia ataka uthubutu kwa wanawake

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza wanawake wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wawe…

Soma Zaidi »

Mambo mazuri chuo cha ufundi Dom

UJENZI  wa Chuo cha Ufundi Dodoma utaongeza nguvu kazi yenye ujuzi na maarifa inayohitajika kwenye uzalishaji katika maeneo mbalimbali nchini.…

Soma Zaidi »

Wanavijiji washauriwa kuchangamkia umeme wa REA

SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) Mkoa wa Dodoma limewataka wananchi wa vijijini kuchangamkia fursa ya kuunganishiwa umeme kwa bei nafuu…

Soma Zaidi »

Mwakitalima afafanua hali kwa wanaopoteza choo

MTU mmoja ambaye hana choo hupoteza takribani saa 58 kwa mwaka kutafuta muda wa kujisitiri. Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Afya,…

Soma Zaidi »

Bunge: Wakandarasi miradi mikubwa waisaidie jamii (ya kimkakati)

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeishauri serikali ielekeze wakandarasi wanaotekeleza miradi mikubwa ya maendeleo waihudumie jamii ili wananchi…

Soma Zaidi »

Tamasha la kumwombea Samia, Tanzania kutua Arusha

TAMASHA la kuiombea nchi na kumwombea Rais Samia Suluhu Hassan linatarajia kufanyika Novemba 27 mwaka huu jijini Arusha ambapo wasanii…

Soma Zaidi »

Shujaa Majaliwa ‘kuoga’ fedha za wabunge

Mbunge Hamis Kigwangala ameomba mwongozo bungeni akitaka wabunge wakatwe kiasi cha Sh 50,000 kutoka kwenye posho zao za leo kwa…

Soma Zaidi »

HEET, ‘Samia Scholarship’ kuongeza udahili elimu ya juu

Maboresho ya miundombinu yanayoendelea katika vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu chini ya mradi wa mapinduzi ya Mradi…

Soma Zaidi »

Wapongeza sheria kulinda taarifa binafsi

VIONGOZI wa vyama vya siasa na wananchi wameipongeza serikali kuwasilisha bungeni na bunge kupitisha Muswada wa Sheria ya Ulinzi wa…

Soma Zaidi »
Back to top button