Kanda

HESLB yafungua dirisha la rufaa kwa siku saba

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza leo (Jumapili, Novemba 13, 2022) imetangaza kufunguliwa kwa dirisha la rufaa…

Soma Zaidi »

Wabunge wazuru Daraja jipya la Wami, watoa maelekezo

Kamati ya Bunge ya Kudumu ya miundombinu imetoa wito kwa wananchi kulitunza Daraja jipya la Wami (m 513.5) na barabara…

Soma Zaidi »

TAKUKURU yaanza uchunguzi ujenzi madarasa, mabweni

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania ( TAKUKURU), Mkoa wa Morogoro imeanza kazi ya kufuatilia kwa karibu fedha…

Soma Zaidi »

Rais Samia apongezwa kuunganisha Watanzania

Rais Samia Suluhu Hassan, amepongezwa kwa kuleta suluhu nchini Tanzania kwa kuwaunganisha Watanzania bila kujadili itikadi zao, dini au jinsia…

Soma Zaidi »

Mvua zaacha maumivu Katavi

MVUA iliyo ambatana na upepo mkali imeharibu nyumba 31 katika kijiji cha Tukoma, Kata ya Itenka halmashauri ya Nsimbo mkoani…

Soma Zaidi »

Kivuko kikamboni kuendeshwa na sekta binafsi – Samia

SERIKALI imesema itaingia mkataba na sekta binafsi kwa ajili ya uendeshaji wa kivuko cha Kigamboni lengo ikiwa ni kuongeza ufanisi…

Soma Zaidi »

‘Mlalamikaji hahusiki kumsafirisha mtuhumiwa’

SERIKALI imebainisha kuwa kitendo cha mlalamikaji kulazimishwa kugharamia usafirishaji wa mtuhumiwa au mahabusu kwenda na kurudi rumande ni kukiuka sheria…

Soma Zaidi »

Wafukua kaburi, wanyofoa titi, moyo, jicho na ulimi

JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya linawatafuta watu waliofukua kaburi na kuchukua viungo vya marehemu likiwemo titi, moyo, jicho na…

Soma Zaidi »

Mkurugenzi jiji Arusha, wenzake waongezewa mashtaka

MKURUGENZI wa Jiji la Arusha ambaye na wenzake wawili walikuwa wakikabiliwa na mashtaka saba likiwemo la uhujumu uchumi, sasa wana…

Soma Zaidi »

Safari za Ndege ruksa Bukoba

UWANJA wa ndege wa Bukoba umefunguliwa tena baada ya kufungwa kwa muda kufuatia ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea…

Soma Zaidi »
Back to top button