Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

PPP nguzo ya utekelezaji Dira 2050

PPP nguzo ya utekelezaji Dira 2050

NI asubuhi yenye upepo mwanana katika viunga vya Chuo Kikuu Katoliki cha Ruaha (RUCU) mkoani Iringa. Ndani ya ukumbi wa…
Uhusiano bora na walipakodi unavyoongeza mapato TRA

Uhusiano bora na walipakodi unavyoongeza mapato TRA

KATIKA siku za karibuni kumekuwa na mapinduzi makubwa ya kiutendaji na ukusanyaji wa kodi ndani ya Mamlaka ya Mapato Tanzania…
Dk. Mwinyi akutana na watendaji wa UNESCO

Dk. Mwinyi akutana na watendaji wa UNESCO

ZANZIBAR : RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na Watendaji wa Tume…
Dk. Mwinyi asifu mafanikio ya uchumi shirikishi

Dk. Mwinyi asifu mafanikio ya uchumi shirikishi

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema mageuzi ya uchumi na fedha yaliyotekelezwa…
Serikali yajipanga kuzalisha nguvu kazi

Serikali yajipanga kuzalisha nguvu kazi

SERIKALI imepongeza Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) kwa kuandaa mkutano muhimu kwa kushirikiana na Wizara ya…
OPUS yazindua tuzo kwa wajasiriamali wanaochipukia

OPUS yazindua tuzo kwa wajasiriamali wanaochipukia

Tuzo mpya za kimataifa zimeanzishwa kutambua wajasiriamali chipukizi duniani, zikiwaandaa waanzilishi wa kampuni zilizo chini ya miaka minne na ambazo…
Dhahabu, nafaka, utalii vyapaisha mauzo nje

Dhahabu, nafaka, utalii vyapaisha mauzo nje

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imesema mauzo ya bidhaa na huduma nje yameongezeka. Taarifa ya Tathmini ya Uchumi ya BoT…
Mashirika yaagizwa umakini kuepuka hasara

Mashirika yaagizwa umakini kuepuka hasara

MSAJILI wa Hazina, Nehemiah Mchechu ameagiza vitengo vya sheria katika mashirika ya umma kuiepusha serikali hasara katika mikataba ya kibiashara.…
Miaka 10 ya TBPL, kilimo, afya mambo safi

Miaka 10 ya TBPL, kilimo, afya mambo safi

PWANI: SERIKALI imesema Kiwanda cha Tanzania Biotech Products Ltd (TBPL) kimekuwa nguzo muhimu katika sekta ya afya na kilimo kwa…
TOSCI yatoa elimu kutambua mbegu bandia

TOSCI yatoa elimu kutambua mbegu bandia

TAASISI ya Udhibiti wa Ubora wa Mbegu Tanzania (TOSCI) imeendelea kutoa elimu kwa wananchi, wakulima na wadau wa sekta ya…
Back to top button