Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Usawa wa kikodi na mageuzi ya kiuchumi Tanzania

Usawa wa kikodi na mageuzi ya kiuchumi Tanzania

USAWA wa kikodi ni msingi muhimu wa haki ya kiuchumi na maendeleo jumuishi unaotenda haki kuwezesha serikali kukusanya mapato bila…
Mbaroni kwa kukwepa kodi ya bil 2.5/-

Mbaroni kwa kukwepa kodi ya bil 2.5/-

IRINGA: Mfanyabiashara wa mbao kutoka Mafinga, Mosses John Madege, mwenye usajili wa TIN namba 130299024, anadaiwa kukwepa kodi ya Sh…
Wakulima wadogo wafaidika na kilimo Ekolojia

Wakulima wadogo wafaidika na kilimo Ekolojia

MTANDAO wa wakulima Afrika Mashariki na Kusini (ESAFF) umesema umefanikiwa kuwafikia wakulima wadogo zaidi ya milioni tatu nchini Tanzania kupitia…
Usafirishaji mizigo bandari ya Mtwara waongezeka

Usafirishaji mizigo bandari ya Mtwara waongezeka

MTWARA : UKUAJI wa Bandari ya Mtwara katika kusafirisha mizigo umeongezeka  kwa asilimia 49 kwa mwaka kuanzia mwaka 2023/2024 kulinganisha…
Mil 555 zatolewa mkopo kwa wajasiriamali Kigoma Ujiji

Mil 555 zatolewa mkopo kwa wajasiriamali Kigoma Ujiji

BENKI ya CRDB imetoa mikopo yenye thamani ya Sh milioni 555.6 kwa vikundi 58 vya wajasiliamali kutoka makundi maalum katika…
Tanzania, Afrika Kusini zaingia makubaliano kuimarisha ushindani, kulinda watumiaji

Tanzania, Afrika Kusini zaingia makubaliano kuimarisha ushindani, kulinda watumiaji

FCC YAIMARISHA USHIRIKIANO NA TUME YA USHINDANI YA AFRIKA KUSINI Afrika Kusini: Tume ya Ushindani Tanzania (FCC) imeingia makubaliano rasmi…
TOSCI yahimiza usajili wa miche ya parachichi

TOSCI yahimiza usajili wa miche ya parachichi

DAR-ES-SALAAM : MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya kudhibiti ubora wa mbegu Tanzania (TOSCI) Nyasebwa Chimagu amesema wzalishaji na wauzaji wa…
TADB yajenga uelewa, kusogeza huduma kwa wakulima Kagera

TADB yajenga uelewa, kusogeza huduma kwa wakulima Kagera

KATIKA kuendeleza dhamira yake ya kuchochea maendeleo ya kilimo nchini, Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imeendesha semina maalum…
Trilioni 455/- zahitajika malengo Dira 2050

Trilioni 455/- zahitajika malengo Dira 2050

SERIKALI imesema Tanzania inahitaji kuvutia Dola za Marekani bilioni 185 (Sh trilioni 455) katika kipindi cha miaka mitano ijayo ili…
Uwekezaji zaidi watakiwa hifadhi Kilimanjaro

Uwekezaji zaidi watakiwa hifadhi Kilimanjaro

MOSHI: NAIBU Kamishina wa Uhifadhi Kanda ya Kaskazini, Stelia Ndaga amesema kuwa Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA) inahitaji wawekezaji zaidi…
Back to top button