Serikali yasisitiza ufanisi kwa Taasisi za Umma

SERIKALI imetoa onyo kwa taasisi na mashirika ya umma yasiyoonesha ufanisi, ikisema yako hatarini kufutwa au kuunganishwa iwapo hayatachukua hatua madhubuti za kuboresha utendaji wao.
Akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam baada ya kikao cha ndani na menejimenti ya OMH kilichoongozwa na Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Prof. Kitila Mkumbo amesema haiingii akilini kuona baadhi ya mashirika ya umma yakishindwa kutoa gawio stahiki licha ya uwekezaji mkubwa wa Serikali.

Aliongeza kuwa Serikali itatoa muda maalum kwa taasisi husika kujirekebisha kabla ya kuchukua uamuzi wa kuyaunganisha au kuyafuta pale itakapobidi. SOMA: “Mashirika ya umma yajifunze kwa binafsi”




Single Mom Reveals How She Earns $89k/Yr Working 10 Hrs/Week From Home. Tired of paycheck-to-paycheck living? Meet Kelly from New York—a regular mom who cracked the code to recession-proof income without selling a thing! Now,Big thanks …
.
Here is I started____________________ http://Www.Cash43.Com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→→→→→→→ https://Www.Payathome9.Com