Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
SMZ kuimarisha uchumi wa buluu
October 9, 2025
SMZ kuimarisha uchumi wa buluu
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Rais Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaendelea kuimarisha miundombinu ya sekta…
Uwekezaji wa serikali wafikia tril 92.3/-
October 9, 2025
Uwekezaji wa serikali wafikia tril 92.3/-
MSAJILI wa Hazina, Nehemiah Mchechu amesema uwekezaji wa serikali ndani na nje ya nchi umeongezeka kwa asilimia saba. Taarifa ya…
Bandari Mtwara yapokea mafuta kwenda nchi jirani
October 8, 2025
Bandari Mtwara yapokea mafuta kwenda nchi jirani
BANDARI ya Mtwara imeanza kupokea meli zenye mzigo wa mafuta ambayo husafirishwa kwenda Zambia, Malawi na Burundi. Meneja wa Bandari…
Wakulima wa karafuu kumiliki mashamba
October 7, 2025
Wakulima wa karafuu kumiliki mashamba
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa Serikali imeamua kutoa Hatimilki za Mashamba…
EAC iungwe mkono kukamilisha sarafu ya pamoja
October 7, 2025
EAC iungwe mkono kukamilisha sarafu ya pamoja
JUMUIYA ya Afrika Mashariki (EAC) imefanikiwa kusimamia vyema Itifaki ya Soko la Pamoja katika miaka 25 baada ya kuanzishwa tena…
Tanzania ni sehemu salama kwa uwekezaji- Tiseza
October 7, 2025
Tanzania ni sehemu salama kwa uwekezaji- Tiseza
MAMLAKA ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) imesema mchakato wa Uchaguzi Mkuu haujaathiri kasi ya uwekezaji nchini.…
Mvomero kuboresha soko la Nyandira
October 6, 2025
Mvomero kuboresha soko la Nyandira
MOROGORO : WAKULIMA wa Tarafa ya Mgeta, Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro wameiomba Serikali pamoja na Mtandao wa Vikundi vya…
David Mulokozi afurahia uwekezaji Manyara
October 4, 2025
David Mulokozi afurahia uwekezaji Manyara
MANYARA: Wawekezaji mkoani Manyara wamemkaribisha kwa kishindo mgombea urais kwa tiketi ya CCM Dk Samia Suluhu Hassan mkoani humu katika…
Tanzania, Kenya zaondoa vikwazo 4 vya biashara
October 4, 2025
Tanzania, Kenya zaondoa vikwazo 4 vya biashara
TANZANIA na Kenya zimeondoa vikwazo vya biashara visivyo vya kiushuru vinne kati ya 14 vilivyojadiliwa katika Mkutano wa Tisa wa…
TRA yavuka lengo kwa kukusanya tril 8.9/-
October 3, 2025
TRA yavuka lengo kwa kukusanya tril 8.9/-
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imekusanya Sh trilioni 8.97 katika kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2025/2026.…