Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
Mashirika yaagizwa umakini kuepuka hasara
October 17, 2025
Mashirika yaagizwa umakini kuepuka hasara
MSAJILI wa Hazina, Nehemiah Mchechu ameagiza vitengo vya sheria katika mashirika ya umma kuiepusha serikali hasara katika mikataba ya kibiashara.…
Miaka 10 ya TBPL, kilimo, afya mambo safi
October 16, 2025
Miaka 10 ya TBPL, kilimo, afya mambo safi
PWANI: SERIKALI imesema Kiwanda cha Tanzania Biotech Products Ltd (TBPL) kimekuwa nguzo muhimu katika sekta ya afya na kilimo kwa…
TOSCI yatoa elimu kutambua mbegu bandia
October 16, 2025
TOSCI yatoa elimu kutambua mbegu bandia
TAASISI ya Udhibiti wa Ubora wa Mbegu Tanzania (TOSCI) imeendelea kutoa elimu kwa wananchi, wakulima na wadau wa sekta ya…
Halotel waeleza walivyowafikia wateja
October 15, 2025
Halotel waeleza walivyowafikia wateja
KAMPUNI ya Mawasiliano ya Halotel imesema hadi kufikia Septemba mwaka huu imefanikiwa kufikia wateja milioni 16.5 kupitia huduma mbalimbali zinazotolewa…
UNCDF waongoza mjadala Dira 2050
October 14, 2025
UNCDF waongoza mjadala Dira 2050
MFUKO wa Mitaji ya Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNCDF), kwa kushirikiana na Serikali ya Tanzania na wadau mbalimbali wa…
Matinyi aongoza ujumbe wa Tanzania Oslo
October 12, 2025
Matinyi aongoza ujumbe wa Tanzania Oslo
BALOZI wa Tanzania nchini Sweden, Mobhare Matinyi aliongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa Biashara kati ya nchi za Nordic…
NEEC: Wananchi wanapaswa kupata fursa sawa kiuchumi
October 12, 2025
NEEC: Wananchi wanapaswa kupata fursa sawa kiuchumi
DAR ES SALAAM: Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) limesema wananchi wote wanapaswa kupata fursa sawa za kiuchumi ili…
Korosho Marathon 2025 yaiva
October 11, 2025
Korosho Marathon 2025 yaiva
MTWARA; BODI ya Korosho kwa kushirikiana na Kampuni ya Makanjiro imeandaa Korosho Marathon 2025 kwa nia ya kuchangisha fedha kununua…
Azania benki yatoa mikopo ya bil 3/- , Iringa – Mkuu wa Mkoa atoa wito
October 10, 2025
Azania benki yatoa mikopo ya bil 3/- , Iringa – Mkuu wa Mkoa atoa wito
IRINGA: Benki ya Azania imefanikisha kutoa mikopo yenye thamani ya zaidi ya Sh bilioni 3 kwa wananchi wa Mkoa wa…
Kariakoo yatangaza msamaha wa kodi miezi miwili
October 10, 2025
Kariakoo yatangaza msamaha wa kodi miezi miwili
SHIRIKA la Masoko Kariakoo mkoani Dar es Salaam limetangaza msamaha wa kodi wa miezi miwili kwa wafanyabiashara waliounguliwa na maduka.…