Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Mitambo ya kuchimbia gesi yanukia Bandari Mtwara

Mitambo ya kuchimbia gesi yanukia Bandari Mtwara

MTWARA. Kwa mara ya kwanza katika historia, Bandari ya Mtwara inatarajiwa kuanza kupokea mitambo na vifaa vya kisasa kwa ajili…
Washiriki kozi ndefu NDC-TZ wafundwa

Washiriki kozi ndefu NDC-TZ wafundwa

DAR ES SALAAM: Washiriki wa Kozi Ndefu katika Chuo cha Taifa cha Ulinzi Tanzania (NDC-TZ) leo wamepatiwa mhadhara maalum ulioangazia…
TRA yapewa tano ukusanyaji mapato

TRA yapewa tano ukusanyaji mapato

ARUSHA: Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, ameipongeza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa ufanisi mkubwa katika ukusanyaji wa…
Wanatuita maskini huku ‘wanakuja kula kwetu’!

Wanatuita maskini huku ‘wanakuja kula kwetu’!

VURUGU zilizotokea nchini Oktoba 29, 2025 iliyokuwa siku ya uchaguzi mkuu na siku kadhaa baadaye, ni kosa lililofanywa na baadhi…
TRA yaagizwa kukomesha matumizi mabaya ya misamaha ya kodi nchini

TRA yaagizwa kukomesha matumizi mabaya ya misamaha ya kodi nchini

SERIKALI imeitaka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kukomesha matumizi mabaya ya misamaha ya kodi ili malengo ya serikali ya kuvutia…
ZSSF yatakiwa kusukuma miradi ya maendeleo

ZSSF yatakiwa kusukuma miradi ya maendeleo

RAIS wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amefungua Soko la Mbogamboga la Mombasa Mjini Unguja na kuagiza Mfuko wa Hifadhi ya…
Safari SGR zarejea rasmi, Mbarawa asema ni salama

Safari SGR zarejea rasmi, Mbarawa asema ni salama

SHIRIKA la Reli Tanzania (TRC) limetoa ratiba ya safari za treni ya kisasa ya SGR baada ya serikali kutan gaza…
Wachumi waeleza mbinu ‘kutoboa’ Januari

Wachumi waeleza mbinu ‘kutoboa’ Januari

WATAALAMU wa uchumi wametoa ushauri wa namna ya kukabiliana na hali ngumu ya kifedha mwezi Januari ikiwamo kuweka akiba mapema…
Mauzo korosho yavuka tril 1.2/-

Mauzo korosho yavuka tril 1.2/-

MAUZO ya korosho kwenye minada mbalimbali nchini yamevunja rekodi baada ya kuvuka Sh trilioni 1.2 ambazo zimekusanywa nchini, kutokana na…
TRA yavunja rekodi, yakusanya tril 9.8/-

TRA yavunja rekodi, yakusanya tril 9.8/-

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imejivunia ufanisi wa ukusanyaji wa mapato katika robo ya pili ya Mwaka 2025/2026 huku Desemba…
Back to top button