MKUU wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule amekabidhiwa vyumba 14 vya madarasa na ofisi 9 za walimu zilizokamilika kwa fedha…
Soma Zaidi »Kanda
MACHINJIO ya kisasa ya Nguru Hills Ranch Ltd imezinduliwa rasmi mjini Mvomero ambapo inauwezo wa kuchinja ng’ombe 100 na mbuzi…
Soma Zaidi »WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza kamanda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa {TAKUKURU} mkoa wa Katavi awachunguze watumishi…
Soma Zaidi »WAZIRI Mkuu Kasim Majaliwa, ameitaka Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika, mkoani Katavi kupitia upya mikataba ya biashara ya hewa ukaa…
Soma Zaidi »SERIKALI imekata rufaa dhidi ya hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha juu ya kesi ya Uhujumu uchumi iliyokuwa…
Soma Zaidi »WAKAZI wa mamlaka ya mji mdogo wa Katoro wilayani Geita wameiomba serikali kusaidia kudhibiti mlipuko wa ugonjwa wa kichaa cha…
Soma Zaidi »KATIBU Tawala wa Wilaya ya Tanganyika, mkoani Katavi, Geofrey Mwashitete amewataka wananchi wa wilaya hiyo kuzingatia sheria za utunzaji wa…
Soma Zaidi »SHIRIKA la Plan International, limejitolea baiskeli 500 kwa wanafunzi wa kike wanaoishi katika mazingira magumu, ili kuwaondolea adha ya usafiri…
Soma Zaidi »POLISI mkoani Kagera inamshikilia dereva wa Basi la Happy Nation, Shaaban Khatibu 38 mkazi wa Dare es Salaam akidaiwa kusababisha…
Soma Zaidi »SHIRIKA la World Vision Tanzania, limetenga Sh Bilioni 1.4 kuwawezesha wananchi wa vijiji saba vya kata ya Maduma na Nyololo…
Soma Zaidi »









