Kanda

Shule 33 Ilemela kupatiwa madawati

HALMASHAURI ya Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza, imekabidhi madawati 710 kwa shule 33 za msingi katika manispaa hiyo. Akizungumza wakati…

Soma Zaidi »

Tanesco Mtwara watakiwa kuelimisha wananchi

MKUU wa Wilaya ya Mtwara, Dustan Kyobya, amelitaka Shirika la Umeme nchini (Tanesco) Mkoa wa Mtwara, kutumia wiki ya huduma…

Soma Zaidi »

‘Toeni taarifa za viashiria vya Ebola kwa wakati’ 

MADAKTARI na watoa huduma za afya katika halmashauri nane za Mkoa wa Kagera, wametakiwa kuimarisha ufuatiliaji katika maeneo yao na…

Soma Zaidi »

Mafundi 1000 kupatiwa elimu ya upauaji

MAFUNDI zaidi ya 1000 nchini, watapatiwa elimu kuhusu masuala ya upauaji wa nyumba. Hayo yamesemwa leo na Meneja wa Kampuni…

Soma Zaidi »

Misitu, madini wapewa changamoto ya teknolojia

OFISI ya Mkuu wa Mkoa wa Geita, imeziomba taasisi zinazosimamia rasilimali misitu na madini, kuungana kuwezesha upatikanaji wa Teknolojia ya…

Soma Zaidi »

Geita wavutiwa bima ya afya kwa wote

MENEJA wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), mkoani Geita, Elias Odhiambo, amesema wananchi wengi wanaotembelea maonesho ya…

Soma Zaidi »

CCM Simiyu watakiwa kuvunja makundi

VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Simiyu waliochaguliwa ngazi ya wilaya, wameombwa kuachana na makundi waliyokuwa nayo, wakati…

Soma Zaidi »

IMETHIBITIKA: Daktari Mtanzania afa kwa Ebola Uganda

WAZIRI wa Afya Ummy Mwalimu amethibitisha kifo cha daktari Mtanzania, Mohamed Ali Hafidh, aliyefariki kwa ugonjwa wa Ebola nchini Uganda.…

Soma Zaidi »

Visa vya kichaa cha Mbwa vya pungua Singida

VISA vya ugonjwa wa kichaa cha mbwa katika Mkoa wa Singida vimepungua kutoka asilimia 30 mpaka kufikia visa viwili kwa…

Soma Zaidi »

Washukiwa watano wa ujambazi wauawa, saba watoroka Iringa

WATU watano wanaodhaniwa kuwa ni majambazi kati ya 12 wamefariki dunia baada ya kujeruhiwa katika majibizano ya risasi na Polisi…

Soma Zaidi »
Back to top button