Kanda

Polisi yashikilia wawili mauaji ya mtoto Bukoba

POLISI mkoani Kagera inawashikilia watu wawili wakazi wa Bukoba kwa tuhuma za mauaji ya mtoto wa miaka mitatu mkazi wa…

Soma Zaidi »

Zumaridi ana kesi ya kujibu, kuanza kujitetea Oktoba 17

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi mkoani Mwanza imesema kiongozi wa kidini, Diana Bundala maarufu kwa jina na Mfalme Zumaridi na wenzake…

Soma Zaidi »

Mipaka isiyo rasmi Kagera changamoto udhibiti Ebola

CHANGAMOTO ya mipaka isiyo rasmi zaidi ya 1,000 katika Mkoa wa Kagera,  inaiweka rehani Tanzania kupata mlipuko wà ugonjwa wa…

Soma Zaidi »

Mpanda kujenga madarasa 51 sekondari

HALMASHAURI ya Manispaa ya Mpanda, mkoani Katavi, imepokea kiasi cha Sh bilioni 1.02, kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya…

Soma Zaidi »

Simiyu kamili maadhimisho Wiki ya Chakula

MKOA wa Simiyu unatarajiwa kuwa mwenyeji wa maadhimisho ya Wiki ya Chakula Duniani, yanayotarajiwa kufanyika kitaifa mkoani humo kuanzia Oktoba…

Soma Zaidi »

Darasa la saba 1,384,340 kuanza mitihani kesho 

JUMLA ya watahiniwa 1,384,340 wanaanza kufanya mtihani wa darasa la saba Tanzania Bara kwa siku mbili kuanzia kesho. Kaimu Katibu…

Soma Zaidi »

Wateja 7,000 Tanesco bado kuunganishiwa umeme

SHIRIKA la Umeme nchini (Tanesco), limesema ni wateja 7,000 tu, ambao bado hawajaunganishiwa umeme kati ya wateja karibia 100,000 waliokuwa…

Soma Zaidi »

Wakabidhiwa vyerehani Katavi

HALMASHAURI ya Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, imekabidhi vyerehani vinne  kwa kikundi cha vijana cha Umoja wa Mafundi Nguo kutoka…

Soma Zaidi »

TBA yasisitiza mambo mazuri zaidi yanakuja

WAKALA wa Majengo nchini (TBA), imewahahakikishia Watanzania kuwa itaendelea kubuni, kutathmini, kutekeleza na kusimamia miradi ya ujenzi kwa ufanisi, kwani…

Soma Zaidi »

Bibi wa miaka 75 auawa mgogoro wa ardhi

JESHI la Polisi mkoani Morogoro, linamshikilia Nestory Elias (62), mkazi wa Bon’gola, Kata ya Kilakala,  Manispaa ya Morogoro kwa tuhuma…

Soma Zaidi »
Back to top button