Kanda

Mapya yaibuka ajali iliyoua 20 Tanga

NDUGU wa marehemu Athanas Mrema aliyekuwa akisafirishwa katika gari lililopata ajali na kuua watu 20 Korogwe mkoani Tanga, wamedai kuwa…

Soma Zaidi »

Vijana EAC wafundishwa kuhusu amani

SHIRIKA lisilo la kiserikali Agrithaman, limetoa mafunzo kwa vijana 30 wanaotoka katika mashirika mbalimbali mkoani Kagera kuhusu nafasi ya vijana…

Soma Zaidi »

Waliokufa ajalini Tanga wafika 20

IDADI ya watu waliokufa katika ajali iliyotokea wilayani Korogwe mkoani Tanga imeongezeka kutoka 17 hadi 20. Mkuu wa Mkoa wa Tanga,…

Soma Zaidi »

TAKUKURU wambeba aliyekana sahihi yake, madeni CHAMWAI

MWENYEKITI wa Chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha Walimu Iramba (CHAMWAI), Ali Mwekwa, amekana kutia saini nyaraka tofauti…

Soma Zaidi »

Walimu wanaozunguka hifadhi wapewa mafunzo

UONGOZI wa hifadhi za Taifa za Ibanda, Kyerwa na Rumanyika, Karagwe umetoa mafunzo kwa walimu  wa masomo ya maarifa ya…

Soma Zaidi »

Mwendokasi waua 17 wakipeleka maiti Kilimanjaro

WATU 17 wamefariki dunia na wengine 12 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha fuso na gari la abiria ambalo lilikuwa limebeba maiti…

Soma Zaidi »

Madiwani wataka migogoro ya mipaka ishugulikiwe Mpanda

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, limemuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa manispaa hiyo kushughulikia suala la mipaka…

Soma Zaidi »

Wapewa mbinu ukusanyaji mapato Mtwara Mikindani

MEYA wa Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara, Shadida Ndile amewataka watendaji wa manispaa hiyo kutoa elimu ya mlipa kodi…

Soma Zaidi »

Wakuu wa Wilaya watakiwa kuwa watiifu

MKUU wa Mkoa wa Arusha, John Mongella amewaapisha wakuu wapya wa wilaya za Arusha, Longido na Arumeru na kuwaasa kuwa…

Soma Zaidi »

Wilaya Tanganyika wavuka lengo upandaji miche ya miti

ZAIDI ya miche ya miti milioni 2 imepandwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi na kuifanya Halmashauri hiyo…

Soma Zaidi »
Back to top button