Kanda

Jengo la Halmashauri Bumbuli lafikia patamu

ZAIDI ya Sh bilioni 3.2 zimetumika katika Ujenzi wa jengo la utawala la ghorofa mbili la Halmashauri ya  Bumbuli, wilayani…

Soma Zaidi »

Mbunge Mwambe atoa ushauri minada ya korosho

MBUNGE wa Jimbo la Ndanda, mkoani Mtwara Cecil Mwambe ameshauri serikali kuondoa baadhi ya tozo kwenye zao la korosho, ili…

Soma Zaidi »

RC Sendiga apongeza ujenzi wa madarasa Mpanda

KAIMU Mkuu wa Mkoa wa Katavi, ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Queen Sendiga amepongeza usimamizi wa ujenzi wa…

Soma Zaidi »

Ukame kuathiri halmashauri  6 Tanga

HALMASHAURI sita za mkoa wa Tanga, zipo hatarini kukabiliwa na upungufu wa chakula na maji kutokana na hali ya ukame…

Soma Zaidi »

‘Kaizirege, Kemebosi zingatieni maadili mzidi kung’ara’

ASKOFU Msaidizi Jimbo la Bukoba, Methodius Kilaini amesema shule za Kemebosi na Kaizirege zimeleta zimeleta ushindani mkubwa na kuwa kielezo…

Soma Zaidi »

RC Mongella atoa miezi 2 ujenzi wa shule

MKUU wa Mkoa Arusha, John Mongella, ametoa miezi miwili  kwa Mkurugenzi  Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya  Meru, Zainabu Makwinya…

Soma Zaidi »

Aagiza wakulima wote waandikishwe mbolea za ruzuku

MKUU wa Wilaya ya Tanganyika, Onesmo Buswelu amewaagiza maofisa ugani, watendaji wa vijiji na viongozi wote wilayani humo, kuhakikisha ndani…

Soma Zaidi »

Wakulima wa kahawa waahidiwa raha

NAIBU Waziri wa Kilimo, Antony Mavunde, amewahakikisha wakulima wa kahawa  mkoani Kagera kuwa, serikali itaendelea kuwasimamia  maofisa ugani kutoa huduma…

Soma Zaidi »

Wizara yaridhishwa uzalishaji mbegu za mazao Missenyi

TAASISI tatu zilizoko chini ya Wizara ya Kilimo, zimeridhishwa na uwekezaji unaofanywa na Kampuni ya Global Agency katika kuhakikisha inazalisha…

Soma Zaidi »

Wezi fedha za TASAF kushughulikiwa

MKUU wa Wilaya ya Mtwara, Dunstan Kyobya, ameitaka ofisi ya Mkurungezi wa Manispaa ya Mtwara Mikindani, kuwachukulia hatua kali za…

Soma Zaidi »
Back to top button