Kanda

Mikakati yawekwa wasiojua kusoma, kuandika

SERIKALI imeweka mikakati ya kukabiliana na changamoto ya kushuka kwa kiwango cha wanaojua kusoma, kuandika na kuhesabu (KKK) katika kipindi…

Soma Zaidi »

Majaliwa: Watumishi wa umma sikilizeni wananchi

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa, amewataka watumishi wa umma watimize wajibu wao, kama ambavyo Rais Samia Suluhu Hassan anatarajia wafanye pindi…

Soma Zaidi »

‘Fanyeni utafiti kupata ufumbuzi elimu ya juu’

VYUO  Vikuu nchini vimetakiwa kufanya tafiti, zikiwemo za namna ambavyo elimu ya juu itakidhi matakwa ya sasa ya jamii ya…

Soma Zaidi »

Wasimamishwa kazi kupisha uchunguzi mradi wa shule

MKUU wa Mkoa wa Tanga, Omari Mgumba, amewasimamisha kazi watumishi wanne wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza, ili kupisha uchunguzi…

Soma Zaidi »

RC Arusha aonya wakandarasi wazembe

MKUU wa Mkoa wa Arusha, John Mongella amewataka wakandarasi wanaopewa kazi mbalimbali mkoani humo kuhakisha wanatimiza kazi zao kwa mujibu…

Soma Zaidi »

Ushirika wahimizwa matumizi mfumo wa kidigitali

SERIKALI imehimiza matumizi ya mfumo wa kidigitali katika kusimamia vyama vya ushirika. Hayo yamesemwa leo na Mrajisi wa vyama vya…

Soma Zaidi »

Sh bil 60 kutumika ukarabati vivuko, miundombinu

WAKALA wa ufundi na Umeme nchini (Temesa), imesema mwaka wa fedha 2022/23  inatekeleza miradi mbalimbali ya ujenzi na ukarabati wa vivuko pamoja…

Soma Zaidi »

Samia atoa msaada waliojifungua watoto njiti

RAIS Samia Suluhu Hassan, ametoa msaada wa mahitaji muhimu kwa mama waliojifungua watoto njiti katika Hospitali ya Rufaa ya Maweni…

Soma Zaidi »

Samia aandika historia Kigoma

RAIS Samia Suluhu Hassan ameweka historia mkoani Kigoma kwa kuzima majenereta yaliyokuwa yakitumia Sh bilioni 52 kufua umeme huku mapato…

Soma Zaidi »

Polisi watahadharisha wizi mtandaoni

JESHI la Polisi limetoa onyo kwa wananchi kujiepusha na kampuni zinazojinasibu na uwekezaji wa fedha kwa kuzichunguza kwanza na kujihakikishia…

Soma Zaidi »
Back to top button