Kanda

Mpanda wahamasishwa usafi wa mazingira

OFISI ya Mkuu wa Wilaya ya Mpanda kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Mpanda, zimeshiriki kufanya usafi…

Soma Zaidi »

Watumishi wanaoomba ‘posho’ kwa wakandarasi waonywa

MKUU wa Wilaya ya Mlele, mkoani Katavi, Filbarto Sanga, amewaonya baadhi ya watumishi wanaotumia nafasi zao kuomba fedha kwa wakandarasi…

Soma Zaidi »

Wapongezwa kutoa ardhi bila kudai fidia Bukoba

WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, imepanga kurudisha shukrani kwa wananchi wa Vijiji vya Itawa na Kangabusharo, Halmashauri ya Bukoba…

Soma Zaidi »

Majaliwa: Daraja la JPM litakamilika kwa wakati

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa, amesema miradi yote ya kimkakati itakamilika kwa wakati na hakuna mradi utakaokwama. Amesema kauli hiyo leo,…

Soma Zaidi »

Mikataba ya Sh bilioni 375.5 yasainiwa ununuzi wa pembejeo Mtwara

KAMATI ya pamoja ya ununuzi wa pembejeo za zao la korosho na wazabuni wamesaini mkataba wenye thamani ya Sh bilioni…

Soma Zaidi »

‘Agizo la Rais limeanza kutekelezeka’

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan kutaka nchi ijitosheleza  kwa uzalishaji wa sukari yameanza kutekelezeka…

Soma Zaidi »

Rais Samia azindua kituo cha umeme Mpomvu – Geita

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akibonyeza kitufe kuzindua Kituo cha kupokea, kupooza na kusambaza umeme…

Soma Zaidi »

Samia aagiza wahitimu Veta wasaidiwe kujitegemea  

RAIS Samia Suluhu Hassan ameuagiza uongozi wa Mkoa wa Kagera kuhakikisha unatenga asilimia 10 ya fedha za halmashauri zinunue vifaa…

Soma Zaidi »

Watakiwa kushiriki miradi ya maendelo Mtwara

WANANCHI katika Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara, wametakiwa kushiriki kikamilifu kwenye miradi mbalimbali ya maendeleo inayowekezwa maeneo yao, ili kuharakisha…

Soma Zaidi »

Wamuenzi Nyerere kwa usafi Zahanati Sombetini

TAASISI ya Bethany International Services, imemuenzi hayati Mwalimu Julius Nyerere, kwa kufanya usafi Zahanati ya Sombetini jijini Arusha na kutoa…

Soma Zaidi »
Back to top button