Kanda

Tanga wamuenzi Nyerere kwa usafi Mwanzange

OFISI ya Mkuu wa Wilaya ya Tanga, imeshiriki kumbukumbu ya miaka 23 ya kifo cha Baba wa Taifa, hayati Mwalimu…

Soma Zaidi »

Watuhumiwa 2,397 wadakwa matukio dawa za kulevya

MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya, imeteketeza kilogramu 11, 766. 88 katika kipindi cha Julai 1, 2022…

Soma Zaidi »

Dk Mpango: Tumuenzi Mwalimu Nyerere kwa kufanya kazi

MAKAMU wa Rais, Dk Philip Mpango ametoa wito kwa Watanzania kumuenzi Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere kwa vitendo…

Soma Zaidi »

Shaka: Rais Samia anaenzi kwa vitendo maono ya Nyerere

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema Rais Samia Suluhu Hassan…

Soma Zaidi »

Majaliwa kuzindua jengo la macho Bugando

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa anatarajia kuzindua jengo la macho katika Hospitali ya Kanda ya Rufaa ya Bugando , mkoani Mwanza.…

Soma Zaidi »

Kikwete awatunuku vyeti wahitimu 2,091 UDSM 

RAIS Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dk Jakaya Kikwete, ambaye pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam…

Soma Zaidi »

Babu adaiwa kumnajisi mjukuu wa miaka 5

JESHI la Polisi, mkoani Simiyu linamshikilia, Mahona Mboje (65), Mkazi wa Kijiji cha Mpindo, Kata ya Sanga, wilayani Maswa kwa…

Soma Zaidi »

Samia kuzindua Hospitali ya Rufaa Chato

RAIS Samia Suluhu Hassan, anatarajia kufanya ziara ya siku mbili mkoani Geita, kuanzia Oktoba 15 hadi 16, 2022, ambapo akiwa…

Soma Zaidi »

CCM Arumeru waomboleza kifo cha mfanyabiashara

WAKATI mwili wa mfanyabiashara maarufu wilayani Arumeru, mkoani Arusha, Itandumi Makere ukitarajiwa kuzikiwa Jumamosi, Machame mkoani Kilimanjaro, Chama cha Mapinduzi…

Soma Zaidi »

Wachimbaji Geita watakiwa kuzingatia mazingira

BARAZA la Taifa la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limewataka wachimbaji wadogo na wa kati mkoani Geita, kuhakikisha wanazingatia…

Soma Zaidi »
Back to top button