Uwekezajia

‘Royal Tour’ yazinduliwa Sweden  

Serikali ya Tanzania kupitia ubalozi wake uliopo Sweden imezindua filamu ya Royal Tour jijini Stockholm kwa lengo la kuwavutia watalii kutembelea vivutio mbalimbali…

Soma Zaidi »

Majaliwa: Diaspora tangazeni fursa za Tanzania

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka wana-diaspora wawe mabalozi wa kuitangaza Tanzania kokote waliko na wawe tayari kuainisha fursa zilizopo nchini.…

Soma Zaidi »

Taasisi yaja na mbinu ya kuwainua wajasiriamali, wastaafu

KATIKA kuwainua kibiashara wajasiriamali wadogo na wa kati pamoja na wastaafu nchini, Taasisi ya Fedha ya Lesthego imekuja na mbinu…

Soma Zaidi »

DC Mtwara, Meneja TSN wateta fursa za maendeleo

MKUU wa Wilaya ya Mtwara, Dustan Kyobya leo amekutana na kufanya mazungumzo na Kaimu Meneja Huduma za Habari za Lugha…

Soma Zaidi »

TPA yaiwekea mikakati Bandari ya Bagamoyo

MAMLAKA  ya Usimaizi Bandari nchini (TPA), imesema iko katika maandalizi ya  ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, itakayosaidia utoaji wa huduma…

Soma Zaidi »

TTB, Njombe waipangia mikakati hifadhi ya Kitulo

BODI ya Utalii nchini (TTB), imepanga kuinua utalii uliopo  Nyanda za Juu  Kusini, husuani mkoa wa Njombe katika hifadhi  ya…

Soma Zaidi »

INTRACOM FERTILIZER kuwekeza kiwanda cha saruji Uvinza

MIKAKATI ya Serikali ya kuvutia wawekezaji imewezesha Kampuni ya ITRACOM FERTILIZERS ya Burundi kuwekeza kiwanda cha saruji mkoani Kigoma. Hayo…

Soma Zaidi »

Oryx wapania kufungua vituo zaidi mikoani

KAMPUNI ya nishati ya Oryx Tanzania, imesema imedhamiria  kufungua vituo zaidi vya mafuta kwenye mikoa mbalimbali nchini. Mkurugenzi Mkuu wa…

Soma Zaidi »

Kongamano la wanawake fursa za uchumi, utalii laja

TAASIS ya wanawake Lakimoja  imepanga kuwafikia wanawake nchini na kuwaelimisha kuhusu fursa ambazo hawajazifikia, lengo likiwa ni  kukuza uchumi wao…

Soma Zaidi »

LATRA yashughulikia changamoto taxi mtandao

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), Habibu Suluo, amesema wanaendelea kushughulikia changamoto za huduma za teksi mtandao,…

Soma Zaidi »
Back to top button