Kanda

Bil 12/- kuongeza ufanisi Kiwanja cha Ndege Moshi (ya kimkakati)

WIZARA ya Ujenzi na Uchukuzi imesema upanuzi wa Kiwanja cha Ndege cha   Moshi mkoani Kilimanjaro unatarajiwa kukamilika Novemba mwakani ili…

Soma Zaidi »

Wanavijiji washauriwa kuchangamkia umeme wa REA

SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) Mkoa wa Dodoma limewataka wananchi wa vijijini kuchangamkia fursa ya kuunganishiwa umeme kwa bei nafuu…

Soma Zaidi »

Mamlaka nchini Tanzania zahaha kuokoa mito inayokauka

PICHA za satelaiti zinaonyesha jinsi ukame mbaya zaidi katika miaka ya hivi karibuni ilivyopunguza kiwango cha maji katika Mto Ruaha…

Soma Zaidi »

Maofisa afya watakiwa kusimamia usafi wa mazingira

KAIMU Mkurugenzi Idara ya Kinga katika Wizara ya Afya, Dk Beatrice Mtayoba amewataka maofisa afya wote jijini Dodoma kusimamia usafi…

Soma Zaidi »

Latra yabadilisha njia za mabasi kuboresha usafiri

MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu (LATRA) Mkoa wa Dodoma imebadilisha njia za kupita mabasi ili kuboresha usafiri…

Soma Zaidi »

Bil 19/- zapatikana kuimarisha taasisi ya bahari

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano imesema imefanikiwa kupata mkopo kutoka Benki ya Dunia wa Sh bilioni 19 ambazo zitatumika kwa…

Soma Zaidi »

Wawili wahukumiwa kunyongwa

WATU wawili wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kumuua kwa kukusudia Gervas Mgonja kwa kinachodaiwa ni…

Soma Zaidi »

ATCL yashindwa kutua Bukoba

NDEGE ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) imeshindwa kutua katika uwanja wa ndege wa Bukoba mkoani Kagera kutokana na hali…

Soma Zaidi »

DC aonya sungusungu kujigeuza wanasheria, mahakimu

MKUU wa Wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita, Jamuhuri William amekemea tabia ya askari wa jeshi la sungu sungu kujigeuza wanasheria…

Soma Zaidi »

Serikali yasitisha shughuli za kibinadamu Mto Ruaha Mkuu ukikauka

SERIKALI imesitisha shughuli zote za kibinadamu katika Mto Ruaha Mkuu baada ya mto huo kukauka kutokana na ukataji miti hovyo,…

Soma Zaidi »
Back to top button