Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Odhiambo awatahadharisha prisons kudharau timu

KOCHA Mkuu wa Tanzania Prisons, Patrick Odhiambo leo Novemba 11, amewataka wachezaji wake kuacha kuzidharau baadhi ya timu katika Ligi…

Soma Zaidi »

Shujaa Majaliwa ‘akunja’ milioni 5/- za wabunge

SPIKA wa Bunge Dk Tulia Ackson ametangaza kuwa wabunge wamechanga kiasi cha Shilingi 5,023,000 kwa lengo la kumpongeza kijana Majaliwa…

Soma Zaidi »

Waziri Mkuu amtaja Aziz Ki akizipongeza Simba, Yanga

 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa hoja ya kuahirisha Bunge leo jijini Dodoma huku akizipongeza timu za Simba na Yanga kwa…

Soma Zaidi »

Mo awapongeza Yanga

“Hongera sana mtani, umeifanya umeifaharisha Tanzania. Karibu kwenye michuano mikubwa.” Ameandika Rais wa heshima wa Simba SC, Mohammed Dewji ‘Mo’…

Soma Zaidi »

Liverpool kukutana na Real Madrid

LIVERPOOL itakuwa na kibarua kigumu kwa mara nyingine baada ya kupangwa na Real Madrid katika hatua ya 16 bora ya…

Soma Zaidi »

Southampton yamfukuza kocha wao Ralph Hasenhüttl

KLABU ya Southampton imemfukuza kocha wao, Ralph Hasenhüttl kutokana na mwenendo usioridhisha baada ya jana kukubali kipigo cha mabao 4…

Soma Zaidi »

Kila la heri Yanga

KIKOSI cha Yanga kimeondoka Dar es Salaam alasiri leo Novemba 4, 2022 kuelekea Tunis, Tunisia katika mchezo wao wa marudiano…

Soma Zaidi »

Mambo yanoga kuelekea Kombe la Dunia

IKIWA zimesalia wiki tatu kuelekea mashindano ya Kombe la Dunia nchini Qatar, Kampuni ya bidhaa za kielektroniki ya Life is…

Soma Zaidi »

FIFA yaonya siasa Kombe la Dunia

SHIRIKISHO la Kimataifa la Mpira wa Miguu ‘FIFA’ limezionya timu zote zitakazoshiriki Kombe la Dunia nchini Qatar juu ya viashiria…

Soma Zaidi »

TFF yasaini mkataba na Precision Air

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu nchini (TFF), limeingia mkataba wa mwaka mmoja wenye thamani ya Sh milioni 108 na Shirika…

Soma Zaidi »
Back to top button