Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Kocha Mkuu Azam atimuliwa

TIMU ya soka ya Azam imefikia makubaliano ya kuachana na Kocha Mkuu wa timu hiyo, Abdihamid Moallin. “Tumefikia makubaliano ya…

Soma Zaidi »

Kim Poulsen atupiwa virago Stars

KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Taifa ‘Taifa Stars’, Kim Poulsen ameondolewa katika nafasi hiyo. Taarifa iliyolewa leo na…

Soma Zaidi »

Maandalizi ya Michezo ya Afrika 2023 ianze mapema

MICHEZO ya 13 ya Mataifa ya Afrika itafanyika Accra, Ghana mwakani na Tanzania ni miongoni mwa nchi 53 zinazotarajia kushiriki…

Soma Zaidi »

Kila la heri Taifa Stars

TIMU ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, kesho inaendelea na kampeni zake za kusaka nafasi ya kufuzu kwa fainali za…

Soma Zaidi »

Wapewa vifaa vya michezo Mwanza

TIMU za Manispaa ya Ilemela zilizoingia Robo Fainali ya mashindano ya Angeline Jimbo, zimepatiwa vifaa vya michezo na mpira mmoja…

Soma Zaidi »

Simba Queens kazi moja leo

TIMU ya soka ya wanawake ya Simba Queens, leo itaivaa AS Kigali katika mechi ya nusu fainali ya kuwania kufuzu…

Soma Zaidi »

Mandonga: Nitaleta furaha kwa Watanzania

Bondia maarufu kwa sasa nchini Karim Mandonga, amesema amekusudia kuwapa watanzania furaha baada ya kushinda pambano  kwenye mzunguko wa kwanza…

Soma Zaidi »

MARIOO amshukuru Barnaba

MSANII wa Bongofleva, Omar Mwanga ‘Marioo’ amesema, hakuna kitu kigumu kama kushirikiana na wasanii wakubwa kwani mara nyingi wanajiona wako…

Soma Zaidi »

Wadau wapongeza tamasha la SensaBika

MASHABIKI na wadau wa sanaa na michezo mbalimbali wameipongeza serikali kwa kuandaa tamasha la ‘SensaBika’ kwenye viwanja vya Leaders, Kinondoni…

Soma Zaidi »

ABC, JKT zatakata ligi ya kikapu

TIMU za ABC, JKT na Pazi zimeanza vyema hatua ya kuisaka nusu fainali ya ligi ya mkoa wa Dar es…

Soma Zaidi »
Back to top button