Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
Tanzanite City mbioni kujengwa Mirerani
August 27, 2022
Tanzanite City mbioni kujengwa Mirerani
SERIKALI iko katika mpango wa kujenga Kituo cha Tanzanite City, kitakachojengwa Mji wa Mirerani, wilayani Simanjiro, mkoani Manyara, lengo ikiwa…
TRA Katavi wasikia kilio Kata ya Majimoto
August 27, 2022
TRA Katavi wasikia kilio Kata ya Majimoto
MAMLAKA ya Mapato nchini (TRA) Mkoa wa Katavi, imezindua ofisi ya kituo cha huduma Majimoto katika Halmashauri ya Wilaya ya…
PIC yabaini matumizi makubwa ulipaji gharama huduma NHIF
August 27, 2022
PIC yabaini matumizi makubwa ulipaji gharama huduma NHIF
KAMATI ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC) imebaini matumizi makubwa ya kulipa gharama za huduma za wanachama…
Iran yasifu fursa za uwekezaji Tanzania
August 27, 2022
Iran yasifu fursa za uwekezaji Tanzania
SERIKALI imewahakikishia wafanyabiashara na wawekezaji wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mazingira salama ya biashara na uwekezaji. Naibu Waziri wa…
NSSF yajitosa mchango wa diaspora kukuza uchumi
August 27, 2022
NSSF yajitosa mchango wa diaspora kukuza uchumi
MFUKO wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeunga mkono mchango mkubwa unaotolewa na Watanzania Wanaoishi Nje ya Nchi (Diaspora),…
Kampeni kudhibiti vibebeo vya plastiki wiki ijayo
August 27, 2022
Kampeni kudhibiti vibebeo vya plastiki wiki ijayo
SERIKALI imepanga kuanza kampeni kabambe ya kitaifa ya kupambana na matumizi ya vifungashio kuwa vibebeo iliyolenga kuanza Jumatatu ijayo nchini…
Serikali yatenga bil 12/- Tazara kuongeza ufanisi
August 27, 2022
Serikali yatenga bil 12/- Tazara kuongeza ufanisi
SERIKALI imesema kwa mwaka wa fedha 2022/2023 imetenga zaidi ya Sh bilioni 12 kwa ajili ya Mamlaka ya Reli ya…
Mkonge wamvuta mwana wa mfalme nchini
August 27, 2022
Mkonge wamvuta mwana wa mfalme nchini
BODI ya Mkonge Tanzania (TSB) imesema iko tayari kushirikiana na Falme ya Babina Noko Ba Mampuru iliyopo katika Jimbo la…
Wanawake wahamasishwa ufugaji wa nyuki
August 26, 2022
Wanawake wahamasishwa ufugaji wa nyuki
ALICE Kibipi mfugaji nyuki wilayani Butiama, mkoa wa Mara amewashauri wanawake wenzake kujikita katika biashara hiyo na kuachana na dhana…
TRA kuiwekea mkakati Tanga
August 26, 2022
TRA kuiwekea mkakati Tanga
MAMLAKA ya Mapato nchini (TRA), inatarajiwa kuufanya Mkoa wa Tanga kuwa wa kimkakati katika ukusanyaji wa mapato nchini Hayo yamesemwa…