Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

‘Kula Maua’ inavyowanyonya wakulima wa ufuta Lindi

‘Kula Maua’ inavyowanyonya wakulima wa ufuta Lindi

MINADA ya ufuta tayari imeshafanyika na msimu wa zao hilo kufungwa rasmi. Takwimu kutoka kwa Ofisa Ushirika Mkoa wa Lindi,…
Dume moja majike matatu kwa mazao tarajiwa ya Samaki

Dume moja majike matatu kwa mazao tarajiwa ya Samaki

DUME moja la samaki linapaswa kuhudumia/kuzalisha majike matatu tu katika bwawa ili mfugaji apate mazao tarajiwa, kwa maana ya ubora.…
ATM ya kwanza ya kubadili fedha yazinduliwa uwanja wa KIA

ATM ya kwanza ya kubadili fedha yazinduliwa uwanja wa KIA

BENKI ya NMB Jumatatu imezindua mashine ya kutolea fedha (ATM) ya kwanza katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa Kilimanjaro (KIA)…
Tanzania yawasilisha miradi ya tril 3/- TICAD

Tanzania yawasilisha miradi ya tril 3/- TICAD

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Tanzania imewasilisha miradi minane yenye thamani ya dola za Marekani bilioni 1.334 (sawa…
Mradi wa bil 185/- kuwatua ndoo Morogoro (logo ya Kimkakati)

Mradi wa bil 185/- kuwatua ndoo Morogoro (logo ya Kimkakati)

SERIKALI kupitia Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Morogoro (MORUWASA) imeanza kutekeleza mradi wa maji wenye thamani ya…
Serikali kupata mwendeshaji mpya DART

Serikali kupata mwendeshaji mpya DART

SERIKALI Septemba mwaka huu inatarajia kusaini mkataba na mwendeshaji mpya wa Mradi wa Mabasi Yaendayo kwa Haraka jijini Dar es…
Shaka afagilia uwekezaji teknolojia ya gesi asilia

Shaka afagilia uwekezaji teknolojia ya gesi asilia

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Shaka Hamdu Shaka, amesema fedha zilizotolewa zaidi ya Sh bilioni…
Japan kutoa tril 70/- za miradi, mazingira Afrika

Japan kutoa tril 70/- za miradi, mazingira Afrika

SERIKALI ya Japan imeahidi kutoa dola za Marekani bilioni 30 (sawa na Ths 69.9 za Tanzania ) kuziwezesha nchi za…
Kiwanda cha bil 725/- kutoa ajira 7,655

Kiwanda cha bil 725/- kutoa ajira 7,655

MWEKEZAJI Jack Feng kutoka China anatarajia kuwekeza dola za Marekani zaidi ya milioni 311 (takribaniSh  bil 725) katika mradi wa…
AFRECO kushirikiana na UDOM kuongeza wataalamu tiba, vifaatiba

AFRECO kushirikiana na UDOM kuongeza wataalamu tiba, vifaatiba

KAMPUNI ya Kijapan, Association of African Economic Development (AFRECO) imeonesha nia ya kujenga chuo cha uhandisi wa tiba (school of…
Back to top button