Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Runali waanza kugawa magunia tayari kwa msimu wa korosho

Runali waanza kugawa magunia tayari kwa msimu wa korosho

CHAMA Kikuu cha Ushirika cha Mkoa wa Lindi cha Runali kinachohudumia wilaya za Ruangwa, Nachingwea na Liwale jana kimeanza kugawa…
Waomba ujenzi wa barabara ya lami mpakani na Msumbiji

Waomba ujenzi wa barabara ya lami mpakani na Msumbiji

WANANCHI wa vijiji vinavyopitiwa na Barabara ya Likuyufusi –Mkenda na nchi jirani ya Msumbiji kwa upande wa Mkoa wa Ruvuma,…
Ujenzi miundombinu kuvutia wawekezaji

Ujenzi miundombinu kuvutia wawekezaji

MKAKATI wa serikali ni kuhakikisha inajenga miundombinu wezeshi ili kuvutia wawekezaji katika maeneo mbalimbali nchini, bunge limeelezwa. Naibu Waziri wa…
Wabunge, wasomi waipa ‘tano’ serikali kufuta tozo

Wabunge, wasomi waipa ‘tano’ serikali kufuta tozo

SERIKALI imepongezwa kwa kusikiliza kilio cha wananchi na kupunguza baadhi ya tozo za miamala ya kielektroniki kuanzia Oktoba Mosi, mwaka…
Mkurabita yaanza kurasimisha biashara ya bodaboda

Mkurabita yaanza kurasimisha biashara ya bodaboda

MRATIBU wa Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA), Dk Seraphia Mgembe amesema mwaka huu wamerasimisha biashara…
TRA: Mfumo wa stempu umeimarisha ukusanyaji kodi

TRA: Mfumo wa stempu umeimarisha ukusanyaji kodi

MFUMO wa Stempu wa Kielektroniki (ETS) ulioanzishwa miaka mitatu iliyopita umeimarisha ulipaji wa kodi na hivyo kuimarisha ushindani wa haki…
BancABC Tanzania yaanzisha akaunti za amana

BancABC Tanzania yaanzisha akaunti za amana

BENKI ya BancABC Tanzania ambayo ni kampuni tanzu ya Atlas Mara imezindua kampeni maalumu inayolenga kuwanufaisha wateja wanaofungua akaunti za…
SMZ yataja umuhimu sera ya nchi uchumi wa buluu

SMZ yataja umuhimu sera ya nchi uchumi wa buluu

SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imesema sera ya pamoja ya Tanzania bara na Zanzibar ni muhimu katika kuzitumia fursa za…
Mchanganuo tozo zilizofutwa, zilizopunguzwa

Mchanganuo tozo zilizofutwa, zilizopunguzwa

SERIKALI imetangaza marekebisho katika tozo za miamala ya kielektroniki kutoka benki Kwenda kwenye simu na mawakala wa benki na ATM.…
Baada ya tozo Mwigulu atoa maelekezo mapya

Baada ya tozo Mwigulu atoa maelekezo mapya

MLIPAJI Mkuu wa Serikali ametakiwa kukaa na maofisa masuuli wote kuangalia upya mafungu ya matumizi mengineyo ili miradi ya maendeleo…
Back to top button