Aeleza jinsi majirani walivyopoteza maisha

Rais Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Elibariki Naman mkazi wa Jorodom, Katesh, ambaye ni muathirika wa mafuriko yaliyotokea wilayani Hanang. Elibariki alikuwa akielezea jinsi majirani zake walivyopoteza maisha pamoja na makazi yao katika maafa hayo.

Habari Zifananazo

2 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Back to top button