Infographics

GEITA: KAMPUNI ya Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGML) imetoa wito kwa watanzania kila mmoja kwa nafasi yake kushiriki kufanikisha…

Soma Zaidi »

Nkasi yapata kituo cha afya cha bil 1.8/-

RUKWA: Serikali imeendelea kuimarisha upatikanaji wa huduma bora za afya kwa wananchi kupitia ujenzi wa miundombinu ya kisasa, ambapo Waziri…

Soma Zaidi »

FCC yapewa maagizo 5 vita dhidi ya bidhaa bandia

DAR ES SALAAM: SERIKALI imeitaka Tume ya Ushindani (FCC) kuimarisha na kupanua matumizi ya teknolojia za kisasa katika uchunguzi, ufutiliaji…

Soma Zaidi »

Tandahimba yapata hati safi

MTWARA: HALMASHAURI ya Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara imepata hati safi ya ukaguzi kutoka kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa…

Soma Zaidi »

TRA Iringa kutoa elimu, shukrani kwa Jamii

IRINGA: Katika kuenzi mchango wa walipakodi ambao wamekuwa uti wa mgongo wa maendeleo ya taifa kwa miongo mitatu, Mamlaka ya…

Soma Zaidi »

CCM yatoa neno mradi wa umwagiliaji Mgambalenga

IRINGA: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi amegiza kusiwe na pngezeko la…

Soma Zaidi »

Serikali yahimiza tahadhari ya Ebola, yasema Tanzania ni salama

DODOMA; Wizara ya Afya imehimiza Watanzania kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Ebola huku ikisisitiza kuwa bado Tanzania ni…

Soma Zaidi »

Wadau: Afrika inapaswa kujitegemea katika chakula

DAR ES SALAAM: Mabadiliko yanayoendelea kufanyika katika mpango wa Marekani wa Food for Peace yameibua mjadala muhimu ambao Afrika haiwezi…

Soma Zaidi »

MCHUMI: Msamaha wa kodi kwa mafuta ya kula utachochea uwekezaji

DAR ES SALAAM: Msamaha wa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwa mafuta ya kula yanayozalishwa kwa kutumia mbegu zinazozalishwa…

Soma Zaidi »

Faru weupe kuongeza chachu ya uhifadhi nchini

ARUSHA: SERIKALI itaendelea kuongeza nguvu katika uhifadhi wa wanyamapori aina ya faru ambao wapo haratini kutoweka kwa kuimarisha Mradi wa…

Soma Zaidi »
Back to top button