Infographics

Wapewa somo uzalishaji korosho wenye tija

MTWARA; WATAALAMU wa kilimo cha korosho nchini wameshauri wakulima kuanza kuandaa mashamba yao kwa kufuata hatua kuu tatu ili kuleta…

Soma Zaidi »

Sheikh ahimiza umoja kusimamia haki duniani

DAR ES SALAAM: SHEIKH Mkuu wa Jumuiya ya Waislamu wa Shia nchini, Hemed Jalala, ametoa wito kwa Waislamu duniani kote…

Soma Zaidi »

‘Kill Marathon’ watoa taarifa barabara zitazotumika Machi 22

DAR ES SALAAM: WANDAAJI wa mbio za Kilimanjaro Premium Lager wametoa taarifa kuhusu kufungwa kwa barabara zitakazotumika siku ya mbio…

Soma Zaidi »

Serikali yaja mpango wa kitaifa wa maridhiano

SERIKALI ya Tanzania imeeleza nia ya kuanzisha Mpango wa Kitaifa wa Maridhiano ili kuponya mipasuko ya kijamii na kuimarisha majadiliano…

Soma Zaidi »

Tume yabaini ongezeko la mifugo, makazi Ngorongoro

TUME ya Rais ya Kutathmini Matumizi ya Ardhi katika Wilaya ya Ngorongoro imebaini ongezeko la watu, mifugo na makazi ndani…

Soma Zaidi »

Serikali yapendekeza bajeti tril 62/-, vipaumbele vitano

SERIKALI imetaja vipaumbele vitano katika mapendekezo ya mfumo na ukomo wa bajeti kwa mwaka 2026/2027.   Waziri wa Fedha, Balozi…

Soma Zaidi »

JKCI, Selian wajipanga AFCON 2027

FAINALI za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) zitafanyika mwaka 2027 kwa ushirikiano wa nchi za Tanzania, Kenya na Uganda.…

Soma Zaidi »

Wanawake Handeni Mji wafundwa teknolojia kiuchumi

HANDENI, Tanga; Wanawake katika Halmashauri ya Mji Handeni wametakiwa kutumia simu janja na teknolojia ya kidijitali kwa kuwa ni nyenzo…

Soma Zaidi »

Dk Gwajima kuongoza maadhimisho Siku ya Wanawake Geita

GEITA: WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Dk Dorothy Gwajima anatarajia kuongoza maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya…

Soma Zaidi »

Takukuru yaokoa vifaa vya mil 51/-ujenzi nyumba ya mwalimu

SHINYANGA: TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa  (TAKUKURU) Mkoa wa Shinyanga imeokoa vifaa vya zaidi ya Sh milioni 51.2 …

Soma Zaidi »
Back to top button