Kumekucha Tamasha la Pasaka 2026

DAR ES SALAAM; Wasanii nguli wa nyimbo za Injili kutoka mataifa mbalimbali wanatarajiwa kuungana na waimbaji wa nyimbo hizo hapa nchini kutumbuiza katika Tamasha la Pasaka mwaka huu.
Tamasha hilo huandaliwa na kuratibiwa na Kampuni ya Msama Promotions, ambapo kwa msimu huu litafanyika mikoa 20 likianzia Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama amesema tamasha litaanza Aprili 5, 2026 likizunguka mikoa 20 kukiwa na wasanii mbalimbali wa Tanzania na nje ya Tanzania.




l Get paid over $110 per hour working from home. l never thought I’d be able to do it but my buddy makes over $21269 a month doing this and she convinced me to try. The possibility with this is endless….
This is what I do………………………………….. https://Www.Cash54.Com
I am making a real GOOD MONEY (300$ to 400$ / hr )online from my laptop. Last month I GOT check of nearly 18,000$, this online work is simple and straightforward, don’t have to go OFFICE, Its home online job. At that point this work opportunity is for you.if you interested.simply give it a shot on the accompanying site….Simply go to the BELOW SITE and start your work…
This is what I do………………………………….. https://Www.Payathome9.Com