Majina ya walioteuliwa CCM yanatangazwa

DODOMA; KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapoinduzi (CCM), Amos Makalla, muda huu anatangaza majina ya wana CCM waliopitishwa kuwania nafasi za ubunge kwenye mchakato ndani ya chama hicho.

DODOMA; KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapoinduzi (CCM), Amos Makalla, muda huu anatangaza majina ya wana CCM waliopitishwa kuwania nafasi za ubunge kwenye mchakato ndani ya chama hicho.