TCU yaongeza muda udahili shahada ya kwanza

MOROGORO: TUME ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imetoa fursa nyingine ya kuongeza muda wa udahili wa shahada ya kwanza katika programu ambazo bado zina nafasi kwenye vyuo vikuu nchini kwa mwaka wa masomo 2025/2026.
TCU imeongeza muda huo wa udahili kwa kufungua awamu ya tatu na ya mwisho itakayoanza Oktoba 6, hadi kufikia Oktoba 10 mwaka huu.
Katibu Mtendaji wa Tume hiyo, Profesa Charles Kihampa ,amesema hayo Oktoba 3, 2025 akizungimza na waandishi wa habari mjini Morogoro.
Amesema tume imeongeza muda wa udahili kwa kufungua awamu ya tatu baada kupokea maombi ya kuongeza muda wa udahili kutoka Jumuiya ya Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (TAHLISO).
Profesa Kihampa amesema maombi mengine yaliyopokelewa na Tume ni kutoka Vyuo vya Elimu ya Juu kwa ajili ya waombaji ambao hawa kufanikiwa kupata udahili katika awamu ya kwanza na ya pili kwa programu ambazo bado zina nafasi.
“Kufuatia maombi hayo na kuyapata , na baadaya kuyafanyia uchambuzi imeonekana ni busara sasa Tume imefungua dirisha lingine litakuwa ni dirisha la tatu na la mwisho na litatunguliwa jumatatu Oktoba 6 na litakamilika Oktoba 10, “ 2025 na nafasi zilizobaki ni chache na waombaji watumie muda huo,” amesema Profesa Kihamba.
Profesa Kihamba amesema ,kuwa udahili wa shahada ya mwaka wa kwanza kwa ajili ya mwaka wa masomo wa 2025 /26 ulianza Julai15 kwa awamu ya kwanza na ulikamilika Augosti 10 na baadaye kufunguliwa awamu pili Septemba 3, na kukamilika Septemba 21, mwaka huu.
Amesema baada ya kukamilika awamu ya pili ilikuwa ni jukumu la vyuo kuweza kuchakata majina ya waliomba na vinaendelea kuchakata na kupitisha katika mabaraza yao kwa maana ya Seneti na Bodi kwa ajili ya kutoa idhini kwa wale ambao wamekidhi na wale ambao hawakukidhi vigezo kuwapa taarifa sababu za kutokukidhi kwao.
Katibu Mtendaji wa Tume hiyo amesema kwa wale ambao wamepata udahili kwa awamu ya pili , matokeo ya udahili yatatangazwa na Vyuo vya Elimu ya Juu Oktoba 6, 2025.
“Awamu ya kwanza ilikamilika na tuliitangaza ,na awamu ya pili imetamilika na matokeo yake sasa kwa wale waliopata na waliokosa yatatangazwa na Vyuo husika vya elimu ya juu siku ya jumatatu Oktoba 6,2025,” amesema Profesa Kihamba.
“Kwa wale ambao wamepata chuo zaidi ya kimoja watapokea ujumbe mfupi kupitia simu na tunawapa namba ya siri ambayo wataweza kujidhibitisha kwenye chuo kimoja wapo hii ni pamoja na wale wa awamu ya kwanza walichangua chuo zaidi ya kimoja nao ni muda wao kuchagua kimoja wapo na kuthibitisha kuanzia Oktoba 6 hadi 19 Oktoba 2025, “amesisitza.
The Ibrahim Leadership Fellowships were established in 2011 to identify and mentor the future generation of outstanding African leaders. Each year three Fellows have an opportunity to work in the executive offices of the AfDB (Abidjan), ECA (Addis Ababa) or the ITC (Geneva), with a stipend of $100,000.
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→ http://Www.Payathome9.Com
Cash earning job to earns more than $300 per day. getting paid weekly more than $2300 or more simply doing easy work online. no special skills required for this job and regular earning from this are just awesome. all you need is 2 hrs a day for this job and earning are awesome. every person can get this by follow details here…
.
.
HERE——————————————⊃⫸ http://Www.Cash43.Com
The Ibrahim Leadership Fellowships were established in 2011 to identify and mentor the future generation of outstanding African leaders. Each year three Fellows have an opportunity to work in the executive offices of the AfDB (Abidjan), ECA (Addis Ababa) or the ITC (Geneva), with a stipend of $100,000.
The Ibrahim Leadership Fellowships were established in 2011 to identify and mentor the future generation of outstanding African leaders. Each year three Fellows have an opportunity to work in the executive offices of the AfDB (Abidjan), ECA (Addis Ababa) or the ITC (Geneva), with a stipend of $100,000.
The Ibrahim Leadership Fellowships were established in 2011 to identify and mentor the future generation of outstanding African leaders. Each year three Fellows have an opportunity to work in the executive offices of the AfDB (Abidjan), ECA (Addis Ababa) or the ITC (Geneva), with a stipend of $100,000.
The Ibrahim Leadership Fellowships were established in 2011 to identify and mentor the future generation of outstanding African leaders. Each year three Fellows have an opportunity to work in the executive offices of the AfDB (Abidjan), ECA (Addis Ababa) or the ITC (Geneva), with a stipend of $100,000.
The Ibrahim Leadership Fellowships were established in 2011 to identify and mentor the future generation of outstanding African leaders. Each year three Fellows have an opportunity to work in the executive offices of the AfDB (Abidjan), ECA (Addis Ababa) or the ITC (Geneva), with a stipend of $100,000.
The Ibrahim Leadership Fellowships were established in 2011 to identify and mentor the future generation of outstanding African leaders. Each year three Fellows have an opportunity to work in the executive offices of the AfDB (Abidjan), ECA (Addis Ababa) or the ITC (Geneva), with a stipend of $100,000.
The Ibrahim Leadership Fellowships were established in 2011 to identify and mentor the future generation of outstanding African leaders. Each year three Fellows have an opportunity to work in the executive offices of the AfDB (Abidjan), ECA (Addis Ababa) or the ITC (Geneva), with a stipend of $100,000.
The Ibrahim Leadership Fellowships were established in 2011 to identify and mentor the future generation of outstanding African leaders. Each year three Fellows have an opportunity to work in the executive offices of the AfDB (Abidjan), ECA (Addis Ababa) or the ITC (Geneva), with a stipend of $100,000.
The Ibrahim Leadership Fellowships were established in 2011 to identify and mentor the future generation of outstanding African leaders. Each year three Fellows have an opportunity to work in the executive offices of the AfDB (Abidjan), ECA (Addis Ababa) or the ITC (Geneva), with a stipend of $100,000.
I have been exploring for a bit for any high-quality articles or blog posts in this kind of space .
Exploring in Yahoo I ultimately stumbled
upon this website. Reading this info So i am
happy to show that I have an incredibly just right uncanny
feeling I came upon exactly what I needed. I so much surely will make certain to do
not put out of your mind this site and provides it a look on a relentless basis.