David Mulokozi afurahia uwekezaji Manyara

MANYARA: Wawekezaji mkoani Manyara wamemkaribisha kwa kishindo mgombea urais kwa tiketi ya CCM Dk Samia Suluhu Hassan mkoani humu katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kampeni mkoani humo.
Akizungumza baada ya kutua kwa helikopta inayohamasisha wananchi kumchagua Dk Samia, Mkurugenzi wa Kampuni ya Mati Super Brands LTD, David Mulokozi ameeleza kuwa katika kipindi cha uongozi wa Rais Samia mazingira ya uwekezaji yameboreshwa zaidi nchini hali iliyopelekea wawekezaji wa ndani na nje kuongezeka.
Amesema mazingira mazuri ya uwekezaji yamevutia watu wengi kuwekeza na kutoa fursa za ajira na kuinua uchumi wa nchi husika.
Dk Samia Suluhu Hassan leo yupo mkoani Manyara kwa ziara ya kampeni katika Wilaya ya Babati katika viwanja vya stendi ya zamani.
Cash earning job to earns more than $300 per day. getting paid weekly more than $2300 or more simply doing easy work online. no special skills required for this job and regular earning from this are just awesome. all you need is 2 hrs a day for this job and earning are awesome. every person can get this by follow details here…
.
.
HERE——————————————⊃⫸ http://Www.Cash43.Com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→ http://Www.Payathome9.Com