Safari za SGR zarejea

SHIRIKA la Reli Tanzania(TRC) linawajulisha umma kuwa shughuli za huduma za treni za SGR  zimerejea tena. Kwa mujibu wa taarifa  iliyotolewa na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Shirika la Reli Tanzania Fredy Mwanjala imesema kuwa Shirika la Reli Tanzania (TRC ) linaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza wa usafiri huo.

Taarifa hii inakuja baada ya kutokea  ajali katika eneo la Pugu jijini Dar- es-salaam kutokana na hitilafu  ya uendeshaji iliyotokea. SOMA: SGR Uvinza-Musongati, funguo muhimu milango mipya ya uchumi

 

 

 

 

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button