Amina Jigge aipeperusha Bendera ya Tanzania Miss Earth 2025

MREMBO wa Tanzania, Miss Amina Jigge, amepewa heshima ya kuiwakilisha nchi kwenye mashindano makubwa ya urembo duniani, Miss Earth 2025, yanayofanyika nchini Ufilipino. Amina, ambaye kwa sasa yuko kambini rasmi na warembo wengine kutoka mataifa mbalimbali, ameonesha ari na dhamira ya kuipa Tanzania heshima katika jukwaa hilo la kimataifa.

Akizungumza na Habari leo Amina kabla ya kuanza kwa mashindano hayo, Miss Amina Jigge amewaomba Watanzania kumpa sapoti na dua, akisisitiza kuwa atatumia nafasi hiyo kutangaza utalii na utamaduni wa Tanzania. Ninajivunia kupeperusha bendera ya Taifa langu. Naomba Watanzania wote waniunge mkono.

SOMA: Samia awakumbuke wanamitindo Tanzania

Habari Zifananazo

2 Comments

  1. JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..

    .

    This is my main concern……………………………………. http://Www.Cash43.Com

  2. Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
    .
    M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us→→→→→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button