Arusha wamshukuru Samia vipimo magonjwa ya moyo

ARUSHA; Wananchi wa Mkoa wa Arusha na mikoa ya jirani wamemshukuru Rais wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan kwa uwezeshaji wake wa programu ya vipimo na matibabu bure kwa magonjwa ya moyo inayofanyika kwa ushirikiano Kati ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) na Hospitali ya Arusha Lutheran Centre (Seliani).

Leo Jumanne Januari 6, 2025 wakati wa ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, CPA Amos Makalla ya kukagua tukio la matibabu, amesema ujenzi wa Kituo cha JKCI katika Hospitali hiyo kutasaidia pia wananchi, watalii pamoja na washiriki wa michuano ya Mpira wa miguu kwa mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2027 kituo cha Arusha.

Kwa mujibu wa Makalla jumla ya wananchi takribani 1,200 wamenufaika na huduma hiyo ya matibabu bure, akiahidi kwamba serikali itawawezesha wananchi wasiokuwa na uwezo na waliopewa rufaa ya kwenda kutibiwa zaidi kwenye Taasisi ya Moyo JKCI  jijini Dar es Salaam pamoja na kuhamasisha wananchi umuhimu wa Bima ya Afya kwa wote.

 

Habari Zifananazo

2 Comments

  1. l Get paid over $110 per hour working from home. l never thought I’d be able to do it but my buddy makes over $21269 a month doing this and she convinced me to try. The possibility with this is endless….

    This is what I do………………………………….. https://Www.Cash54.Com

  2. Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
    .
    M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us→→→→→→→→→→ https://Www.Payathome9.Com

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button