Ikulu Zanzibar

Zanzibar

Dk. Mwinyi aomboleza msiba wa Abbas

ZANZIBAR : MGOMBEA wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar…

Soma Zaidi »
Asia

China yajipanga kudhibiti uchafu wa mazingira

BEIJING : CHINA, taifa linaloongoza kwa uzalishaji wa gesi chafu duniani, limetangaza kwa mara ya kwanza malengo ya kupunguza hewa…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Mgombea Ubunge Fuoni Afariki Dunia

UNGUJA: MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Fuoni, Zanzibar, Abbas Ali Hassan Mwinyi, amefariki dunia katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa…

Soma Zaidi »
Chaguzi

CCM yaongoza kwa uzoefu-Dk.Nchimbi

MAKAMBAKO : MGOMBEA Mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel Nchimbi amesema CCM ndicho…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Chongolo: Nchimbi ni chaguo sahihi

NJOMBE : MGOMBEA Ubunge Jimbo la Makambako ambaye pia ni Katibu Mkuu wa zamani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel…

Soma Zaidi »
Africa

Rais Chakwera akubali kushindwa uchaguzi

MALAWI : RAIS wa Malawi, Lazarus Chakwera, amekubali kushindwa uchaguzi mkuu na kuliambia taifa lake kwamba anafanya hivyo kwa kuheshimu…

Soma Zaidi »
Africa

Rais anusurika kufa mara tano

MOGADISHU:RAIS wa Somalia, Hassan Sheikh Mohamud, amesema kuwa yeye ndiye sasa shabaha kuu ya kundi la kigaidi la al-Shabaab linalohusishwa…

Soma Zaidi »
Afya

Matumaini mapya kwa watu wenye VVU

MAREKANI : DAWA mpya ya kuzuia maambukizi ya VVU, iitwayo Lenacapavir, inatarajiwa kupatikana kwa gharama nafuu katika zaidi ya nchi…

Soma Zaidi »
Africa

Mkutano wa dharura DRC kufanyika Paris

DR CONGO : RAIS wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Felix Tshisekedi, amewaomba wanachama wa Umoja wa Mataifa kutambua mauaji…

Soma Zaidi »
Kimataifa

UN yaonya kuhusu ghasia Gaza

NEW YORK : KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres amesema amani ya kudumu katika Ukanda wa Gaza haiwezi…

Soma Zaidi »
Back to top button